GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Watumishi wa Mungu Tanzania wakiongozwa na Mtume @mtume_boniface_mwamposa wameandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kumuombea Dua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. @samia_suluhu_hassan na kuliombea Dua Taifa la Tanzania liepukane na migogoro ya kisiasa, vita na kila aina ya baya linaloikumba Nchi yetu.
Kongamano hilo litafanyika Febuari 28 mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kuanzia majira ya saa 8 za mchana hadi jioni.
Chanzo: manaratv
Mwamposa tunajua unajipendekeza sana Kwake ili yale mambo yetu unayoyaingiza na kuyafanya TZ yasibughudhiwe.
Kongamano hilo litafanyika Febuari 28 mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kuanzia majira ya saa 8 za mchana hadi jioni.
Chanzo: manaratv
Mwamposa tunajua unajipendekeza sana Kwake ili yale mambo yetu unayoyaingiza na kuyafanya TZ yasibughudhiwe.