GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kudos.Mwambie pia swaiba wako wakukutukuka Mch Mwamposa, haki na usawa huleta amani na wala hauhitaji maombi.
Kukiwa na haki na usawa automatically tu Taifa linabarikiwa bila maombi.
Wachungaji wajikite kuwaambia watawala watende haki na kuleta usawa miongoni kwenye jamii.
Haha! shida sio hiyo shida huelewi namna vitu vinavyoenda!.Watumishi wa Mungu Tanzania wakiongozwa na Mtume @mtume_boniface_mwamposa wameandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kumuombea Dua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. @samia_suluhu_hassan na kuliombea Dua Taifa la Tanzania liepukane na migogoro ya kisiasa, vita na kila aina ya baya linaloikumba Nchi yetu.
Kongamano hilo litafanyika Febuari 28 mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kuanzia majira ya saa 8 za mchana hadi jioni.
Chanzo: manaratv
Mwamposa tunajua unajipendekeza sana Kwake ili yale mambo yetu unayoyaingiza na kuyafanya TZ yasibughudhiwe.
Kwa hiyo hutaki raisi wa nchi aombeweWatumishi wa Mungu Tanzania wakiongozwa na Mtume @mtume_boniface_mwamposa wameandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kumuombea Dua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. @samia_suluhu_hassan na kuliombea Dua Taifa la Tanzania liepukane na migogoro ya kisiasa, vita na kila aina ya baya linaloikumba Nchi yetu.
Kongamano hilo litafanyika Febuari 28 mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kuanzia majira ya saa 8 za mchana hadi jioni.
Chanzo: manaratv
Mwamposa tunajua unajipendekeza sana Kwake ili yale mambo yetu unayoyaingiza na kuyafanya TZ yasibughudhiwe.
Hivi namba zako ni hizi 0688255974 na 0783657519?Kudos.
waombee mvua Dar joto nikali sana na upepo ndio unahisha kabisa mvua kwenda baraWatumishi wa Mungu Tanzania wakiongozwa na Mtume @mtume_boniface_mwamposa wameandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kumuombea Dua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. @samia_suluhu_hassan na kuliombea Dua Taifa la Tanzania liepukane na migogoro ya kisiasa, vita na kila aina ya baya linaloikumba Nchi yetu.
Kongamano hilo litafanyika Febuari 28 mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kuanzia majira ya saa 8 za mchana hadi jioni.
Chanzo: manaratv
Mwamposa tunajua unajipendekeza sana Kwake ili yale mambo yetu unayoyaingiza na kuyafanya TZ yasibughudhiwe.
Kama wewe ni Christian chukua hiiWatumishi wa Mungu Tanzania wakiongozwa na Mtume @mtume_boniface_mwamposa wameandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kumuombea Dua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. @samia_suluhu_hassan na kuliombea Dua Taifa la Tanzania liepukane na migogoro ya kisiasa, vita na kila aina ya baya linaloikumba Nchi yetu.
Kongamano hilo litafanyika Febuari 28 mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kuanzia majira ya saa 8 za mchana hadi jioni.
Chanzo: manaratv
Mwamposa tunajua unajipendekeza sana Kwake ili yale mambo yetu unayoyaingiza na kuyafanya TZ yasibughudhiwe.
Hata hilo la kulalamika? Kwanini usiwaombee hao unaona wanastahili kuombewa? Samia ameshabarikiwa mnajiumiza bure.Watumishi wa Mungu Tanzania wakiongozwa na Mtume @mtume_boniface_mwamposa wameandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kumuombea Dua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. @samia_suluhu_hassan na kuliombea Dua Taifa la Tanzania liepukane na migogoro ya kisiasa, vita na kila aina ya baya linaloikumba Nchi yetu.
Kongamano hilo litafanyika Febuari 28 mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kuanzia majira ya saa 8 za mchana hadi jioni.
Chanzo: manaratv
Mwamposa tunajua unajipendekeza sana Kwake ili yale mambo yetu unayoyaingiza na kuyafanya TZ yasibughudhiwe.