Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakati wewe unauliza wao wana fail wapi, demu wako huku nae anajiuliza wewe una fail wapi kuhonga hata sendle zenye manyoya?Zamaradi Tena kaongwa kitu kipya zeroo km Aina ya range Rover autobiography Kali sana hapa mjini DSM.
Dada yetu ana bahati ya peke haswa kwa kipindi hiki huwezi pata mwanaume akuonge pesa ndefu huku ulikuwa single maza na watoto watatu juu siyo kawaida kabisa, dada mshukuru Sana mungu kwa hilo, siyo Jambo dogo kabisa hili.
Ila pia naambiwa mhongaji anatokea Royal family moja kubwa hapa nchini haijajulikana ni ipi hadi sasa.
Kudos Sana mhongaji uko vizuri ilisemekana wee ni mmoja wa watu wanaopata furaha Sana ktk mapenzi konde boy haoni ndani.
View attachment 2411275View attachment 2411276
Mafumbo ya Mshana hayoMkuu sijakuelewa na ninakuheshimu San mkuu unamaana gani kusema mungu wetu hadhiakiwi ,je Kuna mtu kamtukana
Kaka Mshana Jr hivi uki sex na msichana asiye mke wala mpenzi wa mtu, pia nawe hujaoa na huna mpenzi, je hapo inahesabika umezini? Ufafanuzi kaka.Dah hapana rafiki mwema nilimaanisha hao wanaotaka kutangazana ngono zao kwenye mabango.. Pole kama nimekuumiza hisia
No. Kwanza nataka assurance then nitakuja pm kushuhudia huo uchi ulioniambia.Njoo bas pm tuyajenga au siyo bhnaa[emoji23]
Upo sahihi sasanaKwa kusoma hizi comments za nyuma ya keyboard unaona jinsi binadamu tulivyo, wengi tuna wivu, husda na roho mbaya, inahitaji mtu aliye evolve kiroho kuwa na upendo wa dhati kuelekea wengine na kuwafurahia kutoka moyoni wanapofurahi.
Kama kweli kajinunulia lakini katangaza kununuliwa naona mambo mawili, aidha anatania ili mtoe mapovu akafulie au inaonyesha alitamani kweli anunuliwe na ikashindikana kwa sababu zozote zile hivyo kaamua kujinunulia kujifurahisha, sasa wivu kwa mtu wa hivi sijui mnatoa wapi kama sio roho mbaya tu ndomaana mume wangu wa kupuliza alivyorudi Huku Nangurukuru kutoka Dar na kuniletea zawadi ya baiskeli sikupost wasap sababu nilijua watu wangenionea wivu na kuniroga hapa kijijini
Mission town Ni ipi Tena naona unafahamu mengi Zaid embu nipe code hyo
Kumbe ndio hbr zao ila kjn inasemekana Ni kijna wa royal family
Hiki kidogo ninachobahatisha mke wangu ana kipata kwa asilimia zoote, so sioni ajabu kama kipato kitafikia huko nishindwe mnunulia mke wangu range.Asnte makaveli kwa kuwa so Positive
Mijitu mingine inaona wivu sas sijajuwa walwai kuwaonga nn mademu zao
😛Hpna siyo sawa wakti wake ndio huu hata na wee utafika tu siku unaongaa ndiga kwa lamama wako
Alfu pia mwanamke anae lalamika kuhusu vitu hvyo mfukuze akwende kwa baba ake akamununulie