Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #21
Mimi na wewe nani mpuuzi? Hii post yako ni jibu tosha.Uzuri wapuuzi kama wewe mmebaki wa kuhesabu CCM. Mna machungu ya kufiwa na Dikteta aliyekuwa analazimisha kuonekana anapendwa ndani na nje ya chama. Kafa anaanikwa hadi mnaomba vikao vya kitchen party.