nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Mko imara kwa mbunge mmoja. Hahahahaaa. Hauko seriousHe MKUU, naona filigisi za Tausi, mwendazake kaondoka na fulsa hiyo ,by the way CHADEMA ipo imara kuliko jana, kwamba nguvu yake imepungua, ni ndoto za mchana MKUU, na sio kwamba tunajipendekeza kwa raisSSH no,CHADEMA tunalipenda taifa,that's Hata mwendazake tuliwai mwambia kutana nae , mkamshauri vibaya ,matokeo yake mnaona umaarufu wake kila siku wayeyuka , tz ni YETU wote wa kuibomoa au kuijenga ni sisi wote bila kujali vyama,dini, n.k