Mnafurahi kupewa mwaliko kuonana na Rais wa JMT; je, mtanufaika vipi kisiasa?

Mnafurahi kupewa mwaliko kuonana na Rais wa JMT; je, mtanufaika vipi kisiasa?

Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya Ccm mtapata manufaa gani ya kisiasa?

Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?

Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto ?

Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za ceres.
Baada ya kuwafukuza warundi woote kurudi kwao ukiwemo wewe.
 
Kwani Dr. Slaa alipokuwa Chadema mliwahi kukubali kuwa Chadema inakubalika?

Mama Samia kukubali kuonana na Chadema kwenu imekuwa nongwa tena?

Watu wa namna gani nyie? Ndiyo maana hampendi ripoti za CAG kusomwa hadharani.

Nyambafu!
Ni kawaida ya wahutu kutopenda amani kote duniani.
Huyo ni mmoja wa wahutu walioingia nchini kwetu.
 
Ni mwisho wa manyanyaso uliyoyafurahia kwa muda mrefu na mwanzo wa mshikamano mpya na utengamano katika taifa letu pendwa Tanzania.
Hawa wahutu walikuwa wananufaika sana kuona taifa limegawanyika vipande maana walikuwa wanafanya buashara ya kuuza umbea na fitina kwa ndugu yao.
 
Usiingilie uhuru wangu wa kikatiba kuwaza chochote shutup. Nini manufaa ya kula sambusa na juice za ikulu huku hamkubaliki?
Wewe ungekuwa unakubalika ungekimbia rwanda na kuja tanzania?
 
Nakuambia hivi huna mamlaka ya kuingilia uhuru wangu juu ya suala lolote kaa kimya.
Ukitaka uhuru rudi kwenu rwanda ukafurahie uhuru .
Huwezi kudai uhuru nyumbani kwa mtu.
 

Unaiongelea Chadema usiyoijua jombi.

Chadema siyo CCM, TLP wala hao wengine.

Habari ndiyo hiyo.
Chadema ya Dr Slaa, unaikumbuka vizuri

Chadema si mtu. Si Slaa, mzee Mdee wala Mbowe.

Chadema ni chama cha wapigania haki. Ukichoka kufanya kazi hiyo wakati wowote unakwenda kama ulivyo kuja.

Chadema itatudumu watu watapita.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
..tusiangalie maslahi ya vyama, tuangalie maslahi ya NCHI.

..mkutano kati ya Rais na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa ulenge ktk kuweka mazingira yenye haki na usawa kwa vyama vyote vya siasa.

..tunataka nchi yetu iwe na siasa za haki, usawa, na safi. hiyo itasaidia kupata viongozi bora, na watakaosimamia maendeleo na ustawi wa nchi kwa ujumla.

..again, tutangulize maslahi ya TANZANIA.
 
Back
Top Bottom