Mnafurahi kupewa mwaliko kuonana na Rais wa JMT; je, mtanufaika vipi kisiasa?

Mnafurahi kupewa mwaliko kuonana na Rais wa JMT; je, mtanufaika vipi kisiasa?

..tusiangalie maslahi ya vyama, tuangalie maslahi ya NCHI.

..mkutano kati ya Rais na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa ulenge ktk kuweka mazingira yenye haki na usawa kwa vyama vyote vya siasa.

..tunataka nchi yetu iwe na siasa za haki, usawa, na safi. hiyo itasaidia kupata viongozi bora, na watakaosimamia maendeleo na ustawi wa nchi kwa ujumla.

..again, tutangulize maslahi ya TANZANIA.
Kwa hiyo unakubaliana nami kuwa hakuna manufaa ya kisiasa mtayopata?
 
Tunataka mfumo wa vyama vingi kwa namna hiyo sio lile jitu UPINZANI ulikuwa sawa na UHAINI
 
Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya Ccm mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Umekasirika wapinzani kuitwa kukutana na Mh. Rais, unapata faida gani?
 
Kwani Dr. Slaa alipokuwa Chadema mliwahi kukubali kuwa Chadema inakubalika?

Mama Samia kukubali kuonana na Chadema kwenu imekuwa nongwa tena?

Watu wa namna gani nyie? Ndiyo maana hampendi ripoti za CAG kusomwa hadharani.

Nyambafu!
Mkuu umesahau kuwa CAG kawekwa na ccm
 
Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya CCM mtapata manufaa gani ya kisiasa?

Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?

Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto?

Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za Ceres.
Mbweha wa Mwendazake Mnahaha sana Qmamamake
 
Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya CCM mtapata manufaa gani ya kisiasa?

Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?

Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto?

Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za Ceres.
Hivi mtaenda na Askofu yupi, Bagonzaaaa au Mwakituma? Na Lawyer yupi, fatmakarumeee au wa zittokabwe? Kikwete aliwakaribisha futari mwaka ule Mhe. Mnyika akamwita Rais dhaifu. Huyu naye mtamwiteje, kumbuka tayari tundulissu kamwita ni Magufuli II.
 
Huyu mama amelelewa na wazazi mkuu,hana mawazo kama ya yule mchunga ng,ombe.

Na ana hofu ya Allah wake,mwenda zake kilichompotezea legacy yake ni kutoiheshimu katiba na kupandikiza mbegu ya chuki na ubaguzi alichopanda ndo anakivuna SAA hii.
Mchunga ng'ombe
 
Sambusa na chai ya ikulu
Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya CCM mtapata manufaa gani ya kisiasa?

Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?

Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto?

Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za Ceres.
 
Usiingilie uhuru wangu wa kikatiba kuwaza chochote shutup. Nini manufaa ya kula sambusa na juice za ikulu huku hamkubaliki?
Kumbe wewe taahira kweli kweli,kama uwezo wako wa kufikiri ni kuwa watu wanaenda Ikulu kula sambusa, basi hata kuwepo hapa jukwaani ni kosa. Rais ndiyo ameshaamua,na cha kumfanya hamna wahutu wapumbavu nyie.
 
Nawaona viongozi wa Chadema sasa wanatafuta njaa wakienda ikulu wafakamie misosi kwa fujo
Tunajua shinikizo la Wahisani na Watoa misaada liko palepale

Lazima akubali masharti ili atembeze bakuli

Sharti ni Demokrasia yenye Afya Tanzania
 
Kumbe wewe taahira kweli kweli,kama uwezo wako wa kufikiri ni kuwa watu wanaenda Ikulu kula sambusa, basi hata kuwepo hapa jukwaani ni kosa. Rais ndiyo ameshaamua,na cha kumfanya hamna wahutu wapumbavu nyie.
Taahira mama yako aliyepigwa shipa akakufyatua taahira mwenzake
 
MKUU, kweli uhoni manufaa ya vyama kukutana na Rais hasa KATIKA kipindi hichi ambapo taifa limeparanganyika? Binafsi nahamini unajua Basi tu unafanya makusudi tu kwa ulichokiandika .
Hakuna manufaa yoyote, hao ni wanaharakati tu
 
Huyu mama amelelewa na wazazi mkuu,hana mawazo kama ya yule mchunga ng,ombe.

Na ana hofu ya Allah wake,mwenda zake kilichompotezea legacy yake ni kutoiheshimu katiba na kupandikiza mbegu ya chuki na ubaguzi alichopanda ndo anakivuna SAA hii.
Nani kakudanganya kama legacy yake imepotea ?
 
Back
Top Bottom