Kwa hiyo unakubaliana nami kuwa hakuna manufaa ya kisiasa mtayopata?..tusiangalie maslahi ya vyama, tuangalie maslahi ya NCHI.
..mkutano kati ya Rais na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa ulenge ktk kuweka mazingira yenye haki na usawa kwa vyama vyote vya siasa.
..tunataka nchi yetu iwe na siasa za haki, usawa, na safi. hiyo itasaidia kupata viongozi bora, na watakaosimamia maendeleo na ustawi wa nchi kwa ujumla.
..again, tutangulize maslahi ya TANZANIA.
Umekasirika wapinzani kuitwa kukutana na Mh. Rais, unapata faida gani?Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya Ccm mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Bangi ya Njombe au?maana ndiyo jiwe aliikubaliNenda kavute bangi
Kwani burundi bangi inaruhusiwa?Bangi+konyagi= upumbavu
Unauliza utoto gani dogo? Cdm haina uhaba wa watu wa kuwaunga mkono, ndio maana hawahitaji mbeleko ya vyombo vya dola.Mnywe au msinywe, mtanufaika kisiasa?
Mkuu umesahau kuwa CAG kawekwa na ccmKwani Dr. Slaa alipokuwa Chadema mliwahi kukubali kuwa Chadema inakubalika?
Mama Samia kukubali kuonana na Chadema kwenu imekuwa nongwa tena?
Watu wa namna gani nyie? Ndiyo maana hampendi ripoti za CAG kusomwa hadharani.
Nyambafu!
Mbweha wa Mwendazake Mnahaha sana QmamamakeItokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya CCM mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?
Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto?
Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za Ceres.
Hivi mtaenda na Askofu yupi, Bagonzaaaa au Mwakituma? Na Lawyer yupi, fatmakarumeee au wa zittokabwe? Kikwete aliwakaribisha futari mwaka ule Mhe. Mnyika akamwita Rais dhaifu. Huyu naye mtamwiteje, kumbuka tayari tundulissu kamwita ni Magufuli II.Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya CCM mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?
Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto?
Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za Ceres.
Mchunga ng'ombeHuyu mama amelelewa na wazazi mkuu,hana mawazo kama ya yule mchunga ng,ombe.
Na ana hofu ya Allah wake,mwenda zake kilichompotezea legacy yake ni kutoiheshimu katiba na kupandikiza mbegu ya chuki na ubaguzi alichopanda ndo anakivuna SAA hii.
Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya CCM mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?
Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto?
Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za Ceres.
Kumbe wewe taahira kweli kweli,kama uwezo wako wa kufikiri ni kuwa watu wanaenda Ikulu kula sambusa, basi hata kuwepo hapa jukwaani ni kosa. Rais ndiyo ameshaamua,na cha kumfanya hamna wahutu wapumbavu nyie.Usiingilie uhuru wangu wa kikatiba kuwaza chochote shutup. Nini manufaa ya kula sambusa na juice za ikulu huku hamkubaliki?
Tunajua shinikizo la Wahisani na Watoa misaada liko palepale
Lazima akubali masharti ili atembeze bakuli
Sharti ni Demokrasia yenye Afya Tanzania
Mataahira kama wewe na mleta hoja mumebakia wachache sana huko CCM.Wanahamu ya kutembelea Ikulu ,hasa ile ya chamwino Dodoma ,wame miss sana kahawa ya jumba kuu
Wanaenda kula fedha zetu za Kodi ni halali yao kabisa tena tumewaruhusu bila kinyongoNawaona viongozi wa Chadema sasa wanatafuta njaa wakienda ikulu wafakamie misosi kwa fujo
Taahira mama yako aliyepigwa shipa akakufyatua taahira mwenzakeKumbe wewe taahira kweli kweli,kama uwezo wako wa kufikiri ni kuwa watu wanaenda Ikulu kula sambusa, basi hata kuwepo hapa jukwaani ni kosa. Rais ndiyo ameshaamua,na cha kumfanya hamna wahutu wapumbavu nyie.
Hakuna manufaa yoyote, hao ni wanaharakati tuMKUU, kweli uhoni manufaa ya vyama kukutana na Rais hasa KATIKA kipindi hichi ambapo taifa limeparanganyika? Binafsi nahamini unajua Basi tu unafanya makusudi tu kwa ulichokiandika .
Mbowe ndio mtaa gani vile ?Wewe lazima ujitundike kwa kamba siku utakapoona Kamanda Mbowe akiteta na mama mambo muhimu ya nchi. Chato ni washamba hasa tule kinara wao
Naam. Kweli kabisaWanahamu ya kutembelea Ikulu ,hasa ile ya chamwino Dodoma ,wame miss sana kahawa ya jumba kuu
Nani kakudanganya kama legacy yake imepotea ?Huyu mama amelelewa na wazazi mkuu,hana mawazo kama ya yule mchunga ng,ombe.
Na ana hofu ya Allah wake,mwenda zake kilichompotezea legacy yake ni kutoiheshimu katiba na kupandikiza mbegu ya chuki na ubaguzi alichopanda ndo anakivuna SAA hii.