Mko imara kwa mbunge mmoja. Hahahahaaa. Hauko seriousHe MKUU, naona filigisi za Tausi, mwendazake kaondoka na fulsa hiyo ,by the way CHADEMA ipo imara kuliko jana, kwamba nguvu yake imepungua, ni ndoto za mchana MKUU, na sio kwamba tunajipendekeza kwa raisSSH no,CHADEMA tunalipenda taifa,that's Hata mwendazake tuliwai mwambia kutana nae , mkamshauri vibaya ,matokeo yake mnaona umaarufu wake kila siku wayeyuka , tz ni YETU wote wa kuibomoa au kuijenga ni sisi wote bila kujali vyama,dini, n.k
Wewe ulishindwa kuiba ?CCM NI wezi WA kura
ChatoMbowe ndio mtaa gani vile ?
Mkuu umesahau kuwa CAG kawekwa na ccm
Haisomwi hadharani kivipi?
Akili hamuna kabisa.Uko dunia ya wapi wewe? Miito ya mataga wenzio watiifu ni hii hapa:
Ripoti za CAG zinatutia machungu, zisisomwe hadharani
Natoa ombi kwa mheshimiwa Rais ajiepushe kutoa mbele ya umma maagizo ambayo yataufanya umma ufuatilie mwisho wa maagizo hayo ilikuwaje. Mfano kitendo cha kusema CAG asimumunye maneno,aseme kila kitu,ni jambo linaliweza kuwafanya watanzania waanze kukosa imani na Rais hasa pale, watu wanaotajwa...www.jamiiforums.com
Au nasema uongo ndugu zangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ulishindwa kuiba ?
Akili hamuna kabisa.
Huku mtaani umesikia nani anamuongelea tena mkuu,habar yake kwishney.Nani kakudanganya kama legacy yake imepotea ?