Yes. Lakini ultimately ua hizi corridors. Weka vyumba vyenye size nzuri kutimiza mahitaji ya watumiajiYesView attachment 2553197
Nimefikiria hapo red kuwe na milango ya hizo rooms. Halafu nitoe hiyo kuta kwenye njano
Hii sentensi ya mwisho ni muhimu sana.Niliona kama nyumba ya nje haiepukiki kwa ajili ya vijana na wageni wa kiume. Ukiungana na vyoo vya nje na stoo ya mazaga. Zaidi kwa ajili ya mpangaji huko mbeleni wa kunikimbiza hospitali nikizeeka
Nashangaa kuna watu wanapingaHii sentensi ya mwisho ni muhimu sana.
1.No privacy hapo , master ni chumba cha faragha💑😁 huwezi kuingia na main intrance na kukutana directly na mlango wa masterView attachment 2538313
Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
1. Main entrance itakuwa hapo kwenye sofa kubwa1.No privacy hapo , master ni chumba cha faragha💑😁 huwezi kuingia na main intrance na kukutana directly na mlango wa master
2. Studying room haiwezi ikawa only kwaajil ya master hivyo bac mlango wake hautakiwi kuwa ndani ya master
3. Nimeona katikati ya corridor kuna mlango😁, huko nikuongeza gharama zisizo na sababu
4. Design za kisasa kuna kitu tunaita open kitchen ikimaanisha hakuna sababu ya kuweka ukuta kutenganisha jiko na dinning lakin pia dinning na sebule, hio itaongeza mwonekano mzuri wa nyumba yako lakin pia itapunguza gharama💰 za ujenzi
5. Kuna bedroom naiona ikiwa na dimension kubwa kuliko sebule😁 nauhakika hiyo ramani ikiwekwa dimension sahihi lazima itabadilisha kabisa shape ya jengo📌
6. Kiujumla hyo raman inamakosa mengi nashauri usiipeleke hyo ramani site kwanz kabla ya marekebisho🤝
Jamaa kaleft grup dah nimesikitikaMtoa mada umeniudhi sana ina maana ghorofa nitajenga mwenyewe tu![emoji276]
Kumbe na wewe ni fundiView attachment 2538313
Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
Mkuu mbona umechukua maamuzi ya haraka hivyo, ghorofa lina raha yake ungejenga polepole mpaka ungekamilisha. Waulize waliojenga wanavyopata raha wakiwa kule juu.View attachment 2538313
Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
Ufundi wangu umeuona wapi?Kumbe na wewe ni fundi
1.Ni ngumu ku-comment kindaga ubaga kama hamna Plot Plan/Block plan hapo. Kuna ile alama kuonesha North ,ni muhimu kuliko watu wanavyofkiri.View attachment 2538313
Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
hata mlango wa maliwato unagaliana na sitting roomStudy room inashare mlango na master? Ni kwa ajili ya wazazi au watoto?