Mnaipa asilimia ngapi hii ramani ya Bangaloo?

Mnaipa asilimia ngapi hii ramani ya Bangaloo?

View attachment 2538313

Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
1.No privacy hapo , master ni chumba cha faragha💑😁 huwezi kuingia na main intrance na kukutana directly na mlango wa master
2. Studying room haiwezi ikawa only kwaajil ya master hivyo bac mlango wake hautakiwi kuwa ndani ya master
3. Nimeona katikati ya corridor kuna mlango😁, huko nikuongeza gharama zisizo na sababu
4. Design za kisasa kuna kitu tunaita open kitchen ikimaanisha hakuna sababu ya kuweka ukuta kutenganisha jiko na dinning lakin pia dinning na sebule, hio itaongeza mwonekano mzuri wa nyumba yako lakin pia itapunguza gharama💰 za ujenzi
5. Kuna bedroom naiona ikiwa na dimension kubwa kuliko sebule😁 nauhakika hiyo ramani ikiwekwa dimension sahihi lazima itabadilisha kabisa shape ya jengo📌
6. Kiujumla hyo raman inamakosa mengi nashauri usiipeleke hyo ramani site kwanz kabla ya marekebisho🤝
 
1.No privacy hapo , master ni chumba cha faragha💑😁 huwezi kuingia na main intrance na kukutana directly na mlango wa master
2. Studying room haiwezi ikawa only kwaajil ya master hivyo bac mlango wake hautakiwi kuwa ndani ya master
3. Nimeona katikati ya corridor kuna mlango😁, huko nikuongeza gharama zisizo na sababu
4. Design za kisasa kuna kitu tunaita open kitchen ikimaanisha hakuna sababu ya kuweka ukuta kutenganisha jiko na dinning lakin pia dinning na sebule, hio itaongeza mwonekano mzuri wa nyumba yako lakin pia itapunguza gharama💰 za ujenzi
5. Kuna bedroom naiona ikiwa na dimension kubwa kuliko sebule😁 nauhakika hiyo ramani ikiwekwa dimension sahihi lazima itabadilisha kabisa shape ya jengo📌
6. Kiujumla hyo raman inamakosa mengi nashauri usiipeleke hyo ramani site kwanz kabla ya marekebisho🤝
1. Main entrance itakuwa hapo kwenye sofa kubwa
2. Study room call it home office. Mlango tutauweka hapo mbele kwenye mapana
3. Huo mlango hautokuwepo
4. Kweli kabisa ila kutaweka bar hapo jikoni badala ya kuwa open
5. Kuhusu vipimo wala usiwe na shaka vitakuwa kulingana na uhitaji
6. Marekebisho kibao yapo pamoja na ushauri wa wakuu wa jukwaa. Nimependa zaidi layout
 
View attachment 2538313

Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
Mkuu mbona umechukua maamuzi ya haraka hivyo, ghorofa lina raha yake ungejenga polepole mpaka ungekamilisha. Waulize waliojenga wanavyopata raha wakiwa kule juu.
 
View attachment 2538313

Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
1.Ni ngumu ku-comment kindaga ubaga kama hamna Plot Plan/Block plan hapo. Kuna ile alama kuonesha North ,ni muhimu kuliko watu wanavyofkiri.
Mana hakuna anayejua.
-Kuzama na Kuchomoza kwa jua.
-Uelekeo wa upepo

2.Haijarishi mwanga utatokea upande gani...
-Korido yako itakuwa na kiza mchana.
-Sebureni Mwanga ni hafifu.Paa la verandah lime-extend parfum

3.Weka Open Floor plan,kati ya Sebure,Jiko na Dinning,,,la sivyo jiandae kwa joto.
-Hakuna mzunguko wa Hewa

4.Store,Kama una makabati ya chini na ya juu...kwa ukubwa nyuma yako,store haina umuhimu sana.

5.Privacy,kuna mdau ametaja choo,nami nakazia

NB
Mwite afike site, akusanifie ramani inayoendana na Kiwanja chako....
 
Back
Top Bottom