Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Ndy umeandika nini hapa?Kukemea ukiwa na evidence ni muhimuuu, mie mekuwa nikisikia ana kamba ndefu sana ya mipango kando, wasanii, wanajamii na hata kondoo wake ana*7=wapa&huduma hiyo. Kwa kuwa nimesikia ni vigumu kukemea bora ngeona live bila chenga
Umemaliza kila kitu kiongozi Wangu ahsante sanaAchana na huyo mtu vitu vingine ibaki kuwa siri nachoweza kukwambia tu wachungaji wa kweli hapo tz ni wachache sana wengine wote wameoza. usitake kunijua mimi ni nani na kwanini nimekwambia hivyo endelea kukaza shingo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uzi umefika page ya 4 popoma bado hajaanza kutukana. Popoma usitufanyie hivyo kaka anza kutukana basi.
Bwege ( Ngende ) mkubwa Wewe.Ila ww haya sawa asante mie bwege eeeeh
Sema Leo sitaki ugomvi na jinamizi ww.......Ila kama unajua nijibu nyama ww
Duh, kumbe nimepitwq na mengi JF! Jamaa siku hizi anaitwa Popoma? 🤣🤣PopomA at his best
Asante sana Mkuu kwa kumpa Ukweli wake huyo Ngende ( Bwege ) GENTAMYCIME na mwambie anahitaji Kazi ya Ziada na ya muda mrefu ili nae aje kuwa kama Mimi GENTAMYCINE Halisi ambaye ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki zake.Huyu mtu anayejiita GENTAMYCIME anataka kusafiria nyota ya GENTAMYCINE tengeneza jina lako na sio kutafuta kitonga.
Kama Babaako.....!!!!Duh, kumbe nimepitwq na mengi JF! Jamaa siku hizi anaitwa Popoma? 🤣🤣
Sasa ndio naamini jina hilo walilokupa ni sahihi! Mie hapo juu nimekosea nini kushangaa?Kama Babaako.....!!!!
SawA 🙏🙏🙏🙏Bwege ( Ngende ) mkubwa Wewe.
Wewe ukiwa "Unawekwa' huwa unakuwa na Utulivu?Sasa ndio naamini jina hilo walilokupa ni sahihi! Mie hapo juu nimekosea nini kushangaa?
Mr Popoma jaribu kuwa na utulivu kidogo
Duh, kwa hiyo Mr Popoma hapo "Unawekwa" ndio maana unakosa utulivu?Wewe ukiwa "Unawekwa' huwa unakuwa na Utulivu?
naona unaipigania ndoa yako, anyways ni vizuri mke kumtetea mmeweHuyu mtu anayejiita GENTAMYCIME anataka kusafiria nyota ya GENTAMYCINE tengeneza jina lako na sio kutafuta kitonga.
Unavyoita watu wapumbavu umetoa wapi huo ubabe,umetoa wapi nguvu ya kutuita wanafiki,wa swahili wanasema wanafiki wanajuana kwa vilemba nasi pia wewe mnafiki,wewe uliyoandika ni nani?? Je wewe ni mchambuzi??au hujui maana ya jamii forum??basi tuambie wewe katibu nani alimuua??inaonekana unajua vingi,ndo maana watu kama nyie mnanyea ndoo mahabusu,usipende kupost utumbo uonekane nawe upo uzi kama hizi tupilia kapuni,kabla sija sahau mnafiki mwenyewe....Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.
Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.
Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.
Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!
99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.
Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.
Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?
Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.
Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
Taarabu zinakudanganya acha kusikiliza taarabuUngana na huyu 'Ngala Ngala' uliyemuita hapa pamoja na Wengine kisha pambaneni nami na hakuna wa Kuniweza Kwa Vita ya Maneno niliyo na PhD nayo sawa?
Acha kusikiliza taarabuJamiiForums Moderators Paw, Moderator, Active, Cookie and JamiiForums GENTAMYCINE nimekuwa nikitukanwa na kudhalilishwa mno na Members na sioni wakiadhibiwa kama ambavyo MImi huwa nawahiwa Kuadhibiwa kwa BAN.
Huyu ni Member wa Tatu hapa JamiiForums kuniita Mimi Mbwa na bahati mbaya hata nikiwaripoti Kwenu hawa Watu bado naona wapo ila nami nikijibu mapigo kwa Lugha yangu upesi sana naona nimepigwa BAN.
Kinachonisikitisha zaidi kuna Members hapa kama BILGERT na Wengine wengi tu GENTAMYCINE nikitukanwa na Kudhalilishwa hivi kwa Kuitwa Mbwa hawajitokezi Kukemea na Kuwakemea Wahusika ila nikijibu tu mapigo haraka sana utaona wanajitokeza Kunishangaa, Kunilaumu na hata Kuwaita Moderators wa JamiiForums wanipige BAN.
Asanteni.
Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
Wengi 'ninaowakaza' mwanzoni huniambia kuwa wako 'Single' au Wameachana na Wanaume wao ila baadae huamua Kufunguka Kwangu kuwa wana Mabwana na Mimi haraka sana huamua Kuachana nao.
Ukimuona Mke wa mtu kaharibika ujue Mume wake kaoza zaidi.. Masanja amevuna alichopanda kwenye ndoa yake.. Mimi namalumu Masanja mwenyewe kama kichwa cha ndoa yake amekuwa mfano mbaya kwa mke wake na kiongozi wa hovyo wa kanisa lake.
Binti acha kujipendekeza kwa wanaume,kua creative acha kudandia ID za watu utaposwa.naona unaipigania ndoa yako, anyways ni vizuri mke kumtetea mmewe