Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Kukemea ukiwa na evidence ni muhimuuu, mie mekuwa nikisikia ana kamba ndefu sana ya mipango kando, wasanii, wanajamii na hata kondoo wake ana*7=wapa&huduma hiyo. Kwa kuwa nimesikia ni vigumu kukemea bora ngeona live bila chenga
Ndy umeandika nini hapa?
 
Achana na huyo mtu vitu vingine ibaki kuwa siri nachoweza kukwambia tu wachungaji wa kweli hapo tz ni wachache sana wengine wote wameoza. usitake kunijua mimi ni nani na kwanini nimekwambia hivyo endelea kukaza shingo.
Umemaliza kila kitu kiongozi Wangu ahsante sana
 
Uzi umefika page ya 4 popoma bado hajaanza kutukana. Popoma usitufanyie hivyo kaka anza kutukana basi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
kwenye hili mwenye mke ameonesha kweli ni msanii mana amesimama mbele ya waumini wake na kusema hata akikuta mke wake anamenywa anamchukua na kuondoka nae ni wakwake ..
Hapa ndo nagundua kwamba jamaa mke wake ameliwa kweli ila yeye ameapa kutomwacha ila kummalizia mbali anaemwibia penzi lake.
Ushauri wangu kwa mnaotaka kuonja utamu wa mama mchungaji chunga usihisiwe au kukamatwa😁😁😁😁
 
Huyu mtu anayejiita GENTAMYCIME anataka kusafiria nyota ya GENTAMYCINE tengeneza jina lako na sio kutafuta kitonga.
Asante sana Mkuu kwa kumpa Ukweli wake huyo Ngende ( Bwege ) GENTAMYCIME na mwambie anahitaji Kazi ya Ziada na ya muda mrefu ili nae aje kuwa kama Mimi GENTAMYCINE Halisi ambaye ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki zake.
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.

Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.

Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!

99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.

Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.

Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?

Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.

Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
Unavyoita watu wapumbavu umetoa wapi huo ubabe,umetoa wapi nguvu ya kutuita wanafiki,wa swahili wanasema wanafiki wanajuana kwa vilemba nasi pia wewe mnafiki,wewe uliyoandika ni nani?? Je wewe ni mchambuzi??au hujui maana ya jamii forum??basi tuambie wewe katibu nani alimuua??inaonekana unajua vingi,ndo maana watu kama nyie mnanyea ndoo mahabusu,usipende kupost utumbo uonekane nawe upo uzi kama hizi tupilia kapuni,kabla sija sahau mnafiki mwenyewe....
 
JamiiForums Moderators Paw, Moderator, Active, Cookie and JamiiForums GENTAMYCINE nimekuwa nikitukanwa na kudhalilishwa mno na Members na sioni wakiadhibiwa kama ambavyo MImi huwa nawahiwa Kuadhibiwa kwa BAN.

Huyu ni Member wa Tatu hapa JamiiForums kuniita Mimi Mbwa na bahati mbaya hata nikiwaripoti Kwenu hawa Watu bado naona wapo ila nami nikijibu mapigo kwa Lugha yangu upesi sana naona nimepigwa BAN.

Kinachonisikitisha zaidi kuna Members hapa kama BILGERT na Wengine wengi tu GENTAMYCINE nikitukanwa na Kudhalilishwa hivi kwa Kuitwa Mbwa hawajitokezi Kukemea na Kuwakemea Wahusika ila nikijibu tu mapigo haraka sana utaona wanajitokeza Kunishangaa, Kunilaumu na hata Kuwaita Moderators wa JamiiForums wanipige BAN.

Asanteni.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
Acha kusikiliza taarabu
 
Wengi 'ninaowakaza' mwanzoni huniambia kuwa wako 'Single' au Wameachana na Wanaume wao ila baadae huamua Kufunguka Kwangu kuwa wana Mabwana na Mimi haraka sana huamua Kuachana nao.

Acha uwongo we mzee utakufa vibaya sana
 
Kivipi dadavua
Ukimuona Mke wa mtu kaharibika ujue Mume wake kaoza zaidi.. Masanja amevuna alichopanda kwenye ndoa yake.. Mimi namalumu Masanja mwenyewe kama kichwa cha ndoa yake amekuwa mfano mbaya kwa mke wake na kiongozi wa hovyo wa kanisa lake.
 
Back
Top Bottom