Mnakataa Ndoa kuhalalisha Uzinzi

Mnakataa Ndoa kuhalalisha Uzinzi

Ndoa inatoa Emotional Support... Wewe ukipata shida kuna mambo uwezi kumshirikisha rafiki, au ndugu.... Utataka umshirikishe mtu wa karibu kabisa ambaye ni mwenza... Ukiwa hauna mwenza unakufa kibudu
Umeona sasa akili zako zilivyo. Nyie watu mlio oa na mnao sifia ndoa sijui mna akili gani ?
 
Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.

Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.

Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...

Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.

Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.

Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Hao ni mawakala wa shetani, mashoga na wasagaji.
 
Hii mada inawahusu
Mama Mwana & gigabyte watetezi wa uzinzi...
Rubish kabisa.
Sio hivyo mkuu.Wewe fwatilia tu taratibu utagundua swala la ndoa limeshakosa uhalali mbele za watu wanaotafakari kwa kina.Ndoa ilianzishwa na binadamu kama ilivyo dini.na uko tunakoenda ndo inazidi kua swala la hovyo ndo maana kila mtu anajifanyia ya kwake.Ila yale aliyoaanzisha Mungu mwenyewe yako vile vile kwa viumbe vyote,angalia kiwango cha watu kujamiiana na watu kuzaana na takwimu za ndoa ndo itajua maisha halisi na yakutengeneza.
 
Kama mtu ana sexual desire, kwa nini aizuie kama anaonuwezo wa kisex! Ukiwa na njaa unakula ushibe, tena unakula vyakula tofauti tofauti kulingana na uhitaji. Kwa nini ngono ionekane mbaya wakati ni hitaji muhimu la bonadamu! Acha kupotosha, KUOA SIYO LAZIMA.
 
Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.

Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.

Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...

Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.

Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.

Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
ndugu hujui tu,walio kwenye ndoa wazinzi balaa...tunakulaga wake zao na waume zao wankulaga mademu zetu...watu wameoa ili wafuliwe na kupikiwa tu
 
Kubwa single haimaanishi una furaha, uko salama, na kadharika... Upweke upelekea usongo wa mawazo
okay uko sawa,,,lakini ebu jiulize una ndoa lakini mkeo/mumeo anakunjima unjyumba,mkeo/mumeo ni m2 wa makelele,,meo/mumeo nimchepukaji,,,,,,na mkeo au mumeo ni vuvuzela na hukuheshimu naameshakupa gono na kaswende mara kadhaa,,,nijibu,,,ndoa ya ivyo na kuwa single kipi kinaleta msongo wa mawazo????????????????????????
 
Wanakataa sheria za sasa za ndoa(feminists laws) siyo ndoa, Sheria zinazoenda kinyume na maelekezo ya Dini na mila na desturi zetu. Sheria zinazompendelea mwanamke na kumgandamiza mwanaume , mtu anaona kuliko afe kwa stress bora awe single, kama ngono atanunua tu hata kwa wake za watu, maana sheria zipo kuwa ukahaba (prostitution) ni kosa la jinai lakini hawakamatwi na wanajigamba WANADANGA, ukioa mali ulizozichuma kwa jasho zitapotea kirahisi mke akienda kudai talaka mahakamani. Tatizo ni SHERIA za sasa ni za kumpendelea mwanamke tu.
wewe ni jiniazi,,,,kula K-VANT!!
 
Hao wanaokataa ndoa wana hoja maridhawa, nimewahi kuwasikia mapastari wawili kwa nyakati tofauti wakiponda kuoa.

Wanasema ni matatizo matupu, kupigana, mizozo, mara unununiwe, mara unyimwe unyumba halafu anapewa mwingine kwa raha zote huko nje, ni ngumi kwa kwenda mbele, taabu tupu. Wanaonya kama utaweza kukabiliana na changamoto za ndoa oa tu, kama vipi jitafakari sana.

Pastari mwingine alisema kama miaka inarudi nyuma awe kijana hana hamu ya kuoa hataki kuombwa hela kila siku. Ndoa nzuri pale unapohitaji huduma ya penzi tu. Penzi la kwenye ndoa halina gharama unapata muda wowote ukitaka.

Mapenzi yamekuwa ghali sana siku hizi huwezi kupata penzi la bure kwa mwanamke asiye mke wako. Waliowahi kuingia kwenye ndoa zikavunjika wana hoja za kukataa ndoa wasipuuzwe
Ndoa ni utapeli ni faida kwa mke na watoto tu mfano unajipinda unateseka kujenga nyumba ukimaliza ni ya mwanamke na watoto
 
Back
Top Bottom