Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kula panya ndiyo asili yanguJikite kwenye mada boss. Wewe mwenyewe Id yako inanuka harufu ya wala panya na watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula panya ndiyo asili yanguJikite kwenye mada boss. Wewe mwenyewe Id yako inanuka harufu ya wala panya na watu.
Najua tayari kisu kimegusa mfupa.
Corona inazidi kuwakombeniKwani mimi ni mwanaCcm? Mimi nashangaa kwa nini wewe na wanaCdm hoja yenu ya katiba mpya na tume mpya mnaikomalia huku mkidai kuwa matokeo mabaya uchaguzi 2020 ndio sababu ya kudai tume huru na katiba mpya. Je itawafikisha?
Ukifuatilia huyo ni zao la koromitjeKisu kiguse mfupa kwa huu utoto unaoongea hapa!
Kwani mimi ni mwanaCcm? Mimi nashangaa kwa nini wewe na wanaCdm hoja yenu ya katiba mpya na tume mpya mnaikomalia huku mkidai kuwa matokeo mabaya uchaguzi 2020 ndio sababu ya kudai tume huru na katiba mpya. Je itawafikisha?
Kwa hiyo unakataa wewe siyo MATAGA! Nataka niweke kumbukumbu zangu sawa ili utolewe kwenye ule mgao wa buku 7 kwa siku.Kwani mimi ni mwanaCcm? Mimi nashangaa kwa nini wewe na wanaCdm hoja yenu ya katiba mpya na tume mpya mnaikomalia huku mkidai kuwa matokeo mabaya uchaguzi 2020 ndio sababu ya kudai tume huru na katiba mpya. Je itawafikisha?
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Nasema hivi baada ya matokeo mabaya ya 2020. Mwamakula amewapiga upofu na kujifanya mnakomaa. Je hii ndio suluhu kama wananchi hatuna imani na nyie?Huna ujualo zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani, rudi ofisini kwenu wakakuonyeshe katiba mpya na tume huru ilianza kudaiwa lini. Unadhani tume huru imeanza kudaiwa siku umejiunga hapa jf?
We jamaa nimekuafuatilia una msongo wa mawazo kushindwa uchaguzi mkuu. Unaharisha uharo humu Jf. Nahisi pia ni mlevi.
Mawazo yako huwa ni ya hovyo sana humu Jf.Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Inawezekana kabisa hiyo tume isiwe huru kabisa ila wenda uhuru wake usilingane na hii inayoitwa tume huru, na wenda ikawa tofauti kabisa na iliyopo kwasasa.Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Nasema hivi baada ya matokeo mabaya ya 2020. Mwamakula amewapiga upofu na kujifanya mnakomaa. Je hii ndio suluhu kama wananchi hatuna imani na nyie?
Nasema hivi baada ya matokeo mabaya ya 2020. Mwamakula amewapiga upofu na kujifanya mnakomaa. Je hii ndio suluhu kama wananchi hatuna imani na nyie?
Usinitishe we jamaa,kama kuanza hata kama ni 1990. Je, hii itabadilisha mfumo wa upendeleo kwenye tume kama mnavyolalamika? Maana hata ikiwa kama tume ya warioba ilivyopendekeza hao wanaopitishwa kisha kuteuliwa na rais wataacha kuwa na mizengwe kama manavyolalamika? Tumia akili acha ushamba wa kisiasa.Narudia tena acha utoto dogo, angalia tume huru ya uchaguzi ilianza kudaiwa lini, ukishajua hilo ndio uje ujadiliane na wanaume hapa jukwaani. Unachokifanya hapa ni kuanika uzoba wako hadharani.
Usinitishe we jamaa,kama kuanza hata kama ni 1990. Je, hii itabadilisha mfumo wa upendeleo kwenye tume kama mnavyolalamika? Maana hata ikiwa kama tume ya warioba ilivyopendekeza hao wanaopitishwa kisha kuteuliwa na rais wataacha kuwa na mizengwe kama manavyolalamika? Tumia akili acha ushamba wa kisiasa.