Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

Mh.. hivi kama serikali imeingia bila ridhaa ya wananchi itatawala?

Hili ni swali ama unapigia jibu mstari? Kuna kuongoza na kuburuza, hiki kinachoendelea kwa sasa sio kuongoza bali ni kuburuza, ndio maana unaona serikali inatawala kwa kupika data, kuteka na hakuna uhuru wa vyombo vya habari.
 
Hili ni swali ama unapigia jibu mstari? Kuna kuongoza na kuburuza, hiki kinachoendelea kwa sasa sio kuongoza bali ni kuburuza, ndio maana unaona serikali inatawala kwa kupika data, kuteka na hakuna uhuru wa vyombo vya habari.
Lakini mimi binafsi naona upo huru ndio maana unapost unachotaka. Na unajua hapa Tanzania kuna vyombo vya habari vingapi? Vinamiliki radio na magazeti. Jikite kwenye mada,huna point kaa kimya.
 
Lakini mimi binafsi naona upo huru ndio maana unapost unachotaka. Na unajua hapa Tanzania kuna vyombo vya habari vingapi? Vinamiliki radio na magazeti. Jikite kwenye mada,huna point kaa kimya.

Niko huru kwa fake Id ? Haya ninayochangia ningechangia kwa verified id ningekuwa nishapotea. Chombo gani cha habari unaweza kwenda kutoa mchango asioupenda yesu wa ccm? Toka lini wingi wa kitu ndio kinamaanisha ubora? Ubora na wingi ni vitu viwili tofauti, kuna wingi wa vyombo vya habari, je vinaripoti nini?

Na kwa taarifa yako kuna wanacdm wamekamatwa kwa kumsema rais kuhusu uwajibikaji wake kwenye suala la covid kwenye group lao la whatapp, huo ndio uhuru unaouengelea?
 
Niko huru kwa fake Id ? Haya ninayochangia ningechangia kwa verified id ningekuwa nishapotea. Chombo gani cha habari unaweza kwenda kutoa mchango asioupenda yesu wa ccm? Toka lini wingi wa kitu ndio kinamaanisha ubora? Ubora na wingi ni vitu viwili tofauti, kuna wingi wa vyombo vya habari, je vinaripoti nini?

Na kwa taarifa yako kuna wanacdm wamekamatwa kwa kumsema rais kuhusu uwajibikaji wake kwenye suala la covid kwenye group lao la whatapp, huo ndio uhuru unaouengelea?
Wamemsema kwa lugha gani? Kebehi? Matusi? Dhihaka? Acha kutetea ujinga. Kama unadhani katiba ya JMT ilikupa uhuru kujieleza ili uvunje sheria unakosea sana.
 
Lakini mimi binafsi naona upo huru ndio maana unapost unachotaka. Na unajua hapa Tanzania kuna vyombo vya habari vingapi? Vinamiliki radio na magazeti. Jikite kwenye mada,huna point kaa kimya.
Embu cheki hiyo video hapo chini kisha utoe maoni yako kuhusiana na uchaguzi huru na wa haki.


 
Wamemsema kwa lugha gani? Kebehi? Matusi? Dhihaka? Acha kutetea ujinga. Kama unadhani katiba ya JMT ilikupa uhuru kujieleza ili uvunje sheria unakosea sana.

Wanaccm wanapowakebehi wapinzani,kuwakejeli nk hivyo vyombo vya usalama havioni? Wapinzani wanapouliwa na vyombo vya dola iko ccm ikae madarakani huwa huoni uhoji weledi wa vyombo vya dola? Huu upuuzi utaisha tu. Huko Afrika kusini weusi waliwekwa ndani sana kwa visingizio kama hivi.
 
Wanaccm wanapowakebehi wapinzani,kuwakejeli nk hivyo vyombo vya usalama havioni? Wapinzani wanapouliwa na vyombo vya dola iko ccm ikae madarakani huwa huoni uhoji weledi wa vyombo vya dola? Huu upuuzi utaisha tu. Huko Afrika kusini weusi waliwekwa ndani sana kwa visingizio kama hivi.
Hili unalozungumzia hapa ni suala lingine,ila hata hao wapinzani wakitukanwa na kukebehiwa wafungue kesi.
 
Mimi nakubaliana na suala la kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Ila naona utaratibu unaotajwa wa kupata viongozi wa tume si mzuri. Kiongozi ye yote wa kisiasa hapaswi kuhusika katika mchakato huu. Inatakiwa kuundwa jopo la Majaji saba watakaokuwa na kauli ya mwisho katika kuunda tume na kuteua watendaji wake. Wataandaa sifa za msingi kwa watendaji wa tume katika ngazi zote toka taifa, mikoa, wilaya hadi kata. Mtu ye yote anayeona ana sifa zinazotakiwa na anataka kuteuliwa katika ngazi ye yote ataandika barua kwa jopo hili na waombaji watasailiwa kisha mmoja atateuliwa. Uteuzi wa jopo la Majaji utakuwa wa mwisho. Katika ngazi za mikoa, wilaya na kata kutakuwa na kamati za wanasheria watakaosaili waombaji na kuteua walioshinda na kuwasilisha majina kwa tume. Hawa ndio watakuwa watendaji wa tume. Wanasiasa na watumishi wa serikali kazi yao itakuwa kuhamasisha wananchi na wanaachana wao kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi.
 
Mimi nakubaliana na suala la kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Ila naona utaratibu unaotajwa wa kupata viongozi wa tume si mzuri. Kiongozi ye yote wa kisiasa hapaswi kuhusika katika mchakato huu. Inatakiwa kuundwa jopo la Majaji saba watakaokuwa na kauli ya mwisho katika kuunda tume na kuteua watendaji wake. Wataandaa sifa za msingi kwa watendaji wa tume katika ngazi zote toka taifa, mikoa, wilaya hadi kata. Mtu ye yote anayeona ana sifa zinazotakiwa na anataka kuteuliwa katika ngazi ye yote ataandika barua kwa jopo hili na waombaji watasailiwa kisha mmoja atateuliwa. Uteuzi wa jopo la Majaji utakuwa wa mwisho. Katika ngazi za mikoa, wilaya na kata kutakuwa na kamati za wanasheria watakaosaili waombaji na kuteua walioshinda na kuwasilisha majina kwa tume. Hawa ndio watakuwa watendaji wa tume. Wanasiasa na watumishi wa serikali kazi yao itakuwa kuhamasisha wananchi na wanaachana wao kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi.

Hii ndio michango iliyoshiba.
 
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.

Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.

Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.

Je hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?

Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?

My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Kabla hujaaandika ujinga ungejikumbusha kwanza kilichotokea MALAWI!
 
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.

Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.

Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.

Je hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?

Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?

My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Hata hujui kujenga hoja,eti bora mkajenga imani kwa wananchi,!
 
Mimi nakubaliana na suala la kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Ila naona utaratibu unaotajwa wa kupata viongozi wa tume si mzuri. Kiongozi ye yote wa kisiasa hapaswi kuhusika katika mchakato huu. Inatakiwa kuundwa jopo la Majaji saba watakaokuwa na kauli ya mwisho katika kuunda tume na kuteua watendaji wake. Wataandaa sifa za msingi kwa watendaji wa tume katika ngazi zote toka taifa, mikoa, wilaya hadi kata. Mtu ye yote anayeona ana sifa zinazotakiwa na anataka kuteuliwa katika ngazi ye yote ataandika barua kwa jopo hili na waombaji watasailiwa kisha mmoja atateuliwa. Uteuzi wa jopo la Majaji utakuwa wa mwisho. Katika ngazi za mikoa, wilaya na kata kutakuwa na kamati za wanasheria watakaosaili waombaji na kuteua walioshinda na kuwasilisha majina kwa tume. Hawa ndio watakuwa watendaji wa tume. Wanasiasa na watumishi wa serikali kazi yao itakuwa kuhamasisha wananchi na wanaachana wao kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi.
Hao majaji saba watapatikana vipi? Ili waunde tume, je hawataapishwa na rais?
Huko ngazi za chini ulizotaja?

Hawata kuwa na vinasaba vya vyama vya siasa?
 
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.

Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.

Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.

Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?

Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?

My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Kwani kumbe nyinyi mmewekwa madarakani na Tume?

Mungu akubariki kwa kukiri ukweli.
 
Kuweza kuwekwa utaratibu kuwa Jaji Mkuu awateue na kuwaapisha majaji hawa. Katika ngazi za chini kamati za wanasheria ziteuliwe na kuapishwa na Hakimu wa Mahakama ya Mkoa na Wilaya respectively. Vinasaba vya kisiasa itakuwa moja ya chezo vya kukosa sifa ( )
Hao majaji saba watapatikana vipi? Ili waunde tume, je hawataapishwa na rais?
Huko ngazi za chini ulizotaja?

Hawata kuwa na vinasaba vya vyama vya siasa?
Kutawekwa utaratibu kuwa Jaji Mkuu ndiye atakayeteua jopo la Majaji saba na kuwaapisha. Vinasaba vya kisiasa ni moja ya disqualifications kwa nafasi ye yote ile. Mikoani Hakimu Mkazi ateri kamati za wanasheria watakaosimamia zoezi hili na kupisha wateule na kupeleka taarifa kwa tume.
 
Back
Top Bottom