Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

Unaogopa balaa.
Moyo unakudunda balaaa.
Kufa nyau wewe.
MBONA UMETAJA CHADEMA TU NA NCHI INA VYAMA 22, ITAKUTOA ROHO.
 
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Mbona uko kama una hamu ya kuugua magonjwa yasiyoambukiza? Unaonaje ukiwaachia hao wananchi ndio waje waseme?
Yaonekana kama vile u mgumu sana kujifunza na kuelewa. Hivi mpaka sasa huoni kuwa sauti zao ndio zitanoga na zitaleta faraja kuliko zenu? Sauti za NEC, ma DED, Mapolisi na wengine mliyojaliwa kupata fadhila za kuteuliwa na 'mgombea wa CCM' kwa sasa hazina mvuto tena.
 
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Tume huru sio kwaajili ya Chadema kushika dola. Ni ili tuweze kuwa na uchaguzi ulio huru na wa haki, I'll hatimae tuweze kupata viongozi ambao kweli wamechaguliwa na wananchi.
 
Mleta hoja nilifikiri umeweka research kdg uliyofanya ili ku-support hoja yako kumbe ni umbea wa jinsia yako ya kike ndio ilikusukuma!
Hata wanawake wenzio walishaachana na umbea siku hizi wanakuja na facts!
 
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Suala la kushika dola halikuhusu, kura niitoayo kwa upinzani itambulike, ihesabiwe, isiibiwe, na hayo yanawezekana sio kwa tume hii. Umuhimu kwa kura yangu upinzani, uenda ikafikia kiwango cha kuwezesha kupata ruzuku ili kijiendeshe. Kitendo cha kuiba kura si kuiba tu ushindi wao washindapo bali upora ruzuku ambayo ni stahili ya upinzani!
 
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.

Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.

Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.

Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?

Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?

My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Umejaa hofu na ujinga
 
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.

Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.

Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.

Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?

Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?

My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Si muwape hiyo tume huru ya uchaguzi haswa polisi wasiingie kwenye vyumba vya kupigia wala kujumlisha matokeo, na matokeo yote yabandikwe kwenye vituo muone kama hamjalia saa 12 jioni ya uchaguzi
 
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.

Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.

Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.

Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?

Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?

My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Tunataka KATIBA MPYA KWANZA TUME HURU NI ZAO LA KATIBA MPYA
 
... madaraka sio lazima sana, hata uwakilishi wenye mizania bungeni na kwenye halmashauri zetu nayo ni HATUA!
 
Back
Top Bottom