Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
WeweUnamuuliza nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WeweUnamuuliza nani?
Malimao mbilimbi ukwaju udongo maembe machanga ..teh teh tehView attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Mbona uko kama una hamu ya kuugua magonjwa yasiyoambukiza? Unaonaje ukiwaachia hao wananchi ndio waje waseme?View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Tume huru sio kwaajili ya Chadema kushika dola. Ni ili tuweze kuwa na uchaguzi ulio huru na wa haki, I'll hatimae tuweze kupata viongozi ambao kweli wamechaguliwa na wananchi.View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Kwani takwa la kuwa na tume huru ya uchaguzi ni la Chadema tu au mdau wowote wa uchaguzi?View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Suala la kushika dola halikuhusu, kura niitoayo kwa upinzani itambulike, ihesabiwe, isiibiwe, na hayo yanawezekana sio kwa tume hii. Umuhimu kwa kura yangu upinzani, uenda ikafikia kiwango cha kuwezesha kupata ruzuku ili kijiendeshe. Kitendo cha kuiba kura si kuiba tu ushindi wao washindapo bali upora ruzuku ambayo ni stahili ya upinzani!View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Kumbe unakiri haipo huru?View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Sio matamanio bali naeleza fact
Umejaa hofu na ujingaKwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Si muwape hiyo tume huru ya uchaguzi haswa polisi wasiingie kwenye vyumba vya kupigia wala kujumlisha matokeo, na matokeo yote yabandikwe kwenye vituo muone kama hamjalia saa 12 jioni ya uchaguziKwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Bwege tu halitoshi ongeza ²Huna hoja bwege wewe! Utadhani hauishi tanzania! Endelea tu kula maisha, siku wakikugeuka akili zitekuingia
Tunataka KATIBA MPYA KWANZA TUME HURU NI ZAO LA KATIBA MPYAKwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.