evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
jamaa halijielewi linakomenti mautumbo tu, hata kama linalipwa ni upumbavuKwani kumbe nyinyi mmewekwa madarakani na Tume?
Mungu akubariki kwa kukiri ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa halijielewi linakomenti mautumbo tu, hata kama linalipwa ni upumbavuKwani kumbe nyinyi mmewekwa madarakani na Tume?
Mungu akubariki kwa kukiri ukweli.
Jaji mkuu ataapishwa na nani? Na je hatakuwa na vinasaba vya siasa? Kwani mtu kuwa na nasaba na chama fulani cha siasa mpaka uone waziwazi?Kutawekwa utaratibu kuwa Jaji Mkuu ndiye atakayeteua jopo la Majaji saba na kuwaapisha. Vinasaba vya kisiasa ni moja ya disqualifications kwa nafasi ye yote ile. Mikoani Hakimu Mkazi ateri kamati za wanasheria watakaosimamia zoezi hili na kupisha wateule na kupeleka taarifa kwa tume.
Wewe ni bwege tu,,Huja haja ya kutukana, jibu swali kisha toa ushahidi. Au zile picha za Kawe ndio ushahidi wako? Mpaka leo mwezi wa nne hujaenda mahakani?
Pia kumbuka mada ni tume huru,je utakutoa?
Mtoa mada uchaguzi umekwisha.tekelezen ilani yenu. Wapinzani wametulia wanasubir muda tu. Mtakapoanzwa kupigwa bakora na watanzania ambao watakuwa wamezinduka wakati huo.Huja haja ya kutukana, jibu swali kisha toa ushahidi. Au zile picha za Kawe ndio ushahidi wako? Mpaka leo mwezi wa nne hujaenda mahakani?
Pia kumbuka mada ni tume huru,je utakutoa?
Na matokeo yote ya uchaguzi toka ngazi ya urais hadi udiwani yaweze kuhojiwa mahakamani kama yana dosari.Hii ndio michango iliyoshiba.
Kama. Huijui mpaka ya tume huru shut up and zip itKwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Chama chako chenye sera nzuri so kile Cha mtaa wa kijani, Sasa una haha Tena Nini? Waache wengine wajopambanie, kutengeneza sera .View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
View attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Ni kweli, maana chama chenu ni lazima kiongozi awe na KY, mtakubalika tuView attachment 2048356
Chama chochote cha siasa kukamata dola lazima kikubalike kwa umma. Ili kikubalike lazima kiwe na sera nzuri, jambo ambalo Chadema inakosa.
Upi utafiti wako,au unabwabwaja tu?jambo ambalo Chadema inakosa.