Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ndiye popoma ?The Bold.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye popoma ?The Bold.
WeSaaaagudaa mutu wangu inakuwaje. Unajuwa wewe ndo ulikuwa unatutukanaga sana Bavicha unakumbuka. Nakumbukaga uzi wako flani wa ngerengere jiwe alivyoenda kupatembelea.
sawa mrembo.😘nawewe I'd yako yazamani ulikuwa unaitwa Nani?Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.
Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.
Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.
Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.
Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Tumewakosea nini lakini mishangazi?🤣🤣🤣mishangazi inabali I'd kila siku inajifanya pisi kali.
mnaweka avator zawalembo tunavutiwa kumbe jimama la miaka40🤣🤣inachosha kwelo yaniTumewakosea nini lakini mishangazi?🤣🤣🤣
nyie sasa hivi nendeni kwenye jukwaa la story of change,siasa na iterigence🤣🤣mmu achieni maingizo mapyaTumewakosea nini lakini mishangazi?🤣🤣🤣
Mimi kama kaka yake wa hiyari, nimeamua kujitolea kumrekebisha kistaarabu. Ni suala tu la muda kabla ya kuja kunishukuru humu jukwaani.Huyu Genta ameshindikana humu naona.Maana kila siku anaafunguliwa nyuzi na hapo ndipo anapojizolea umaarufu
Kwenye Heading umeandika ID ya Tapeli wa ID yangu na anayetaka Kusafiria Nyota yangu Kali Kiumaarufu, Kiushawishi na Kimvuto ya GENTAMYCIME ( Gentamycime ) halafu hapa katika Thread Content yako umeniandika Mimi Bingwa Lao / Mshindi wa Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa mwaka huu wa 2022 GENTAMYCINE. Je, ni yupi uliyemlenga hasa katika huu Uzi wako?Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.
Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.
Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.
Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.
Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Hahahhahahaha
Eti mishangazi mingine ambayo imeshakufa [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo unamlenga warumi au sio
umetaja Nifah, umenikumbusha Jangid Plaza
Ndiyo ambaye ndiyo Habari ya Mjini kwa sasa JamiiForums halafu ID yake ni Content tosha kwa Kuianzishia Uzi wowote ule na bado Members ( mpaka wale Wanaonichukia ) watauchangamkia katika Kuujadili.GENTAMYCINE na GENTAMYCIME i hope ulimaanisha huyo wa kwanza
Umeandika Kitu Kikubwa na cha maana mno Kiongozi wangu. Wanaonichukia Kutwa, Kunijadili na mpaka Kunianzishia Threads za kila namna ndiyo Wanaonifanya nifuatiliwe, nipendwe na niwe Maarufu hadi wengine akina vibertz, Tate Mkuu, Mrs Lissu, OKW BOBAN SUNZU wanichukie hata kutamani ama ID hii ifutwe kabisa hapa JamiiForums au wasikie nimeshakata Moto mazima Kidunia.Huyu Genta ameshindikana humu naona.Maana kila siku anaafunguliwa nyuzi na hapo ndipo anapojizolea umaarufu
Kwa hiyo unakubali wewe ni Popoma!
Alikuwa mwanamke.huyo warumi si alikuwa mwanaume? ila nahisi huyo ndio alikuwa dalali/kuwadi wa hayo mashangazi.
Kazi ipo. Je, na hii ID yako siyo yangu pia?ID nyingne ya Popoma hii imejileta
Hopeless hili Swali lako muulize Mleta Mada na siyo Mimi sawa? Next time use your Brain fully sawa?Kwa hiyo unakubali wewe ni Popoma!
Halafu ishu za Edward Lowassa kuhamia UKAWA zina uhusiano gani na hili jukwaa letu pendwa la michezo?
Basi hili jukwaa ndilo linalokufaa. Kule kwenye michezo, tuachie wenyewe.Hopeless hili Swali lako muulize Mleta Mada na siyo Mimi sawa? Next time use your Brain fully sawa?
Hivi hili ni Jukwaa la Michezo kama ulivyotaja hapa? Tatizo lenu mnatumia Nguvu Kubwa Kunichukia huku mkiwa hamna Akili na mnaishia Kukosea ( Kuchemka ) tu kama hivi.
Muandiko haudanganyiKazi ipo. Je, na hii ID yako siyo yangu pia?