Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Halafu kwa Ushuhuda kama huu bado akina vibertz, Tate Mkuu na Mrs Lissu na Wengine baadhi wakisikia GENTAMYCINE nimeshinda Shindano lolote hapa JamiiForums au Napendwa na Kukubalika mno hawaamini, hawataki na Wanakasirika mno.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Huyo mrs lissu ni mpumbavu kinoma asee [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
Enzi hizo ulikuwa unachelewa kulala alafu unaamka mapema unaingia JF inakufariji sababu unalala sebuleni sofani kwenye nyumba ambayo dadaako ndo alikuwa ameolewa akakutoa kijijini akakuleta mjini ili uwe unampeleka na kumchukua Junior shuleni
Hahaha prince junta
 
Back
Top Bottom