Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.

Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.

Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.

Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.

Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Hebu muacheni Genta arelax na maisha yake.

Kutwa kumuanzishia nyuzi. Sio lazima wote Humu tuanzishe threads, wengine mnaweza Baki kuwa wachangiaji kwenye comments tu.
 
Halafu kwa Ushuhuda kama huu bado akina vibertz, Tate Mkuu na Mrs Lissu na Wengine baadhi wakisikia GENTAMYCINE nimeshinda Shindano lolote hapa JamiiForums au Napendwa na Kukubalika mno hawaamini, hawataki na Wanakasirika mno.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
[emoji23][emoji23]sifa zitakuuwa wewe mzee
 
Watu walikuwa wanavimbaaa, kukutana nae anakupa procedures kama laboratory rules, ila ukikutana nae sasa unabaki kungojea ukidhan kuna mwingine anakuja sio yeye!
Vingereza vilikuwa vingiii, kuongelea miradi (projects) kwingiii! Ukijipindua kidogo hata usafiri hana
Ila JF viva
 
Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.

Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.

Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.

Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.

Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Enzi hizo ulikuwa unachelewa kulala alafu unaamka mapema unaingia JF inakufariji sababu unalala sebuleni sofani kwenye nyumba ambayo dadaako ndo alikuwa ameolewa akakutoa kijijini akakuleta mjini ili uwe unampeleka na kumchukua Junior shuleni
 
Enzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
😂😂😂😂😂😭😭😭😭
Nacheka na kulia kwa wakati mmoja
 
Enzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
aseee,umewapa za uso ila bado imo imebadili IDs tu
 
Back
Top Bottom