Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
GENTAMYCINE
Genta dawa, genta mitishamba njoo japa wamekuita
Genta dawa, genta mitishamba njoo japa wamekuita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warembo wa JF wanakuchangamkia ila naninihii anapewa mwingine mzee.Enzi hzo we mzee ndo ilikuwa sukari ya warembo humu bila shaka umezichakata sana mbususu za humu ndani
Hebu muacheni Genta arelax na maisha yake.Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.
Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.
Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.
Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.
Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Nimeamua sasa kuja namna hii.Huyu Genta ameshindikana humu naona.Maana kila siku anaafunguliwa nyuzi na hapo ndipo anapojizolea umaarufu
Sahih kbsa Ni gentamycine Yule mwingine siyo popoma Ni kopo flnGENTAMYCINE na GENTAMYCIME i hope ulimaanisha huyo wa kwanza
Hata mti wenye nyoka hua unapigwa mawePopoma ni mti wenye matunda kupigwa mawe ni kawaida..
[emoji23][emoji23]sifa zitakuuwa wewe mzee
Enzi hizo ulikuwa unachelewa kulala alafu unaamka mapema unaingia JF inakufariji sababu unalala sebuleni sofani kwenye nyumba ambayo dadaako ndo alikuwa ameolewa akakutoa kijijini akakuleta mjini ili uwe unampeleka na kumchukua Junior shuleniPopoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.
Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.
Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.
Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.
Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Hivi wewe ni mkaldayo?.Kina mpwayungu village na BabaMorgan na Mcqueenen wanaingia na gear eti wenyewe wankunywaga jack Daniels. Ila mpwayungu ana swagger za ajabu.
adriz naye kamaliza chuo 2020 Islamic university. Yeye kwa mawazo yake eri akija na gear za kidini ataopoa madem wakali wa Kiislamu.
Cc hydroxo ngenya Ncha Kali Chaliifrancisco kikiboxer Myahudi Jr II Darmian Gushleviv michibo Kashaulo Prince KuntaHivi wewe ni mkaldayo?.
Faiza foxyEm taja lishangazi limoja lililobadili id tulichangamkie.
Huyu ni semenya wa udindivu.Hivi wewe ni mkaldayo?.
Aulize swali hilo ni jibu😀
Nimeshamuelewa kumbe ni copenhagen.....Aulize swali hilo ni jibu😀
😂😂😂😂😂😭😭😭😭Enzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
aseee,umewapa za uso ila bado imo imebadili IDs tuEnzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.