Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Hii mada imenifanya niangalie nilijiunga JF lini. JF ya miaka 2008-2010 ilikuwa kama CIA database halafu ilikuwa na mambo ya kivyake vyake.

JF iliharibiwa hapo katikati nakumbuka kipindi flani (2013-2015) tukaanzisha group la uwekezaji na kilimo. Tulipigwa na member mmoja hivi na ndugu yake sitosahau.
 
Kwani Mshana alikuwa Demu wake kabisa Chamdeko au alikuwa anachangamsha Genge? The Bold na Nifah ,Smart911 na Mahondow ilikuwa live bila chenga lakini at the end wakaja kupigwa na vitu venye ncha kali.
😂😂😂😂Jamhuri ya Forums imepitia mengi aisee ukikumbuka vituko vya
Bujibuji Simba Nyamaume na Giresi unaishia kucheka tu
This is JF!
 
Kipindi naingia Jf kulikuwa na makundi mno unahisi kama wewe pekee yako ndio ufahamiani na watu uclassic ulikuwepo sana kidogo tu wanakupopoa kwa kukuchangia mande .Na unaweza kumqouote mtu nakuruka kama hakuoni kisha anamjibu mwengine na kumlike..
Hii ndo mitandao... watu wananyanduana kwa kuchati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom