Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi miongoni mwa wanaosapoti kauli hizo, sababu kulikuwa hakuna unazi kwenye majukwaa ya nondoz na unakuta nyuzi na comments zona uchambuzi ulioshiba kuliko sasa hivi ukiona comment ya MK254 international basi tegemea unazi na vicheko vya kinadada "hehehehe" baada ya kujibu hoja.
Vilevile watu wa kutoa madini wengi walikuwepo mfano @humbeafrican The Bold hata Popoma GENTAMYCINE ilikuwa ukiona uzi wake unajua leo hapa kuna madini mazito mtu hadi unajiona haujafikia uwezo wa kupost uzi humu ,sasa hivi mtu uzi anafyatua tu akishiba mapande ya muhogo.Hayo mambo yalikuwa Celebrity ,Chitchat na MMU tu.
Ukijiingiza kwenye maonesho ya mitandaoni umekwishaaa utaishi kua mtumwa wa watu wengine huku wewe ukiteketea, itakulazimu kila siku kutafuta content ya kuwaonesha mko vizuri kumbe holaaa na maadui wataongezeka kuhakikisha hayo maonesho hayafiki mbaliHalafu watu wenye show off mara nyingi hawapendani jus kuonyesha raia kwamba wanapendana ila wanapitia vitu vingi sana.
Kuna mdada FB alikuwa anampost sana mmewe akionyesha kwamba anampenda sana ,yeye ndiyo baba watoto ila juzi juzi naona kapost m/me mwingine na kusema ndiyo baba wa mwanae na si yule wa awali.... 😀
Yapo mengi sana! Wengi wao sasa hivi ni wake za watu na wana watoto au wamezalishwa na wamebaki wasimbe, single mothersEm taja lishangazi limoja lililobadili id tulichangamkie.
Na Yale ya Mshana na Demise
Na Yale ya Mshana na Demise
SanaaaaTumetoka mbali sana, khaaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sanaaaa
Mara paaap faiza foxy katoa ofa yakutongozwa live mzee mayalla akajitosa
Hahahaha this is JF[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] oyaaaa, nilisahau hiii
Mshana na Demise ilikuwa kweli
The bold na niffah nakumbuka walifunga ndoa kabisa
Rala moko
Kuna mdau hapo juu kasema ilishakufagaNdoa ya Niffa na Bold idumu milele na milele hivi kale ka ontario kalikua kashahidi?
Heeee mange ????Lara1 ndio yule mnaelipia app yake mpate ubuyu yuko zake kwa biden katulia kimya
Hivi Dada Jane yupo kweli?Halafu [mention]MK254 [/mention] alikua anaandika mambo ya maana sana hapa, uchumi, afya, maendeleo, pepo wa jf akaanza kumuingia huyo nikaona analeta habari za osama, waislamu akaanza kuwaita wavaa kobazi,, akaanza kuwakandia alshabaab, akarukia boko haram, kwa sasa kajibanza ukraine maana alimshabikia Raila akaangukia pua,