Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Hahahhahahaha
Eti mishangazi mingine ambayo imeshakufa [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo unamlenga warumi au sio
Huyo Uliyemtaja Alikuwa Kamanda Ila Thread Zake Akijifanya Mishangazi
 
hahah Malaria Sugu kwake ban ni kama kugusa tuu alikua hata akisalimia tu anakula ban
Baada ya ban mfululizo alienda kuandika makala kwenye gazeti la Mwana Halisi kulalamikia. Siku hiyo akafungulia. Ajabu baada ya siku 3 hivi akazingua na kupigwa ban tena..
 
Hii mada imenifanya niangalie nilijiunga JF lini. JF ya miaka 2008-2010 ilikuwa kama CIA database halafu ilikuwa na mambo ya kivyake vyake.

JF iliharibiwa hapo katikati nakumbuka kipindi flani (2013-2015) tukaanzisha group la uwekezaji na kilimo. Tulipigwa na member mmoja hivi na ndugu yake sitosahau.

Vitunguu dakawa?
 
Back
Top Bottom