kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Mkuu upo hauonekaniMkuu upo well informed... eeeh endelea kutuhabarisha basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo hauonekaniMkuu upo well informed... eeeh endelea kutuhabarisha basi.
Tena huyu Unique Flower danga kweli alafu kumbe ni limama kabisa hili ptuuu daah kweli lisemwalo lipo@uniqueflower
Hao wametombana na kuzalishana watoto 5 kila mtu kwakeHongereni Sana ,bado Smart911 na Mahondow watupe mrejesho.
Huyo Uliyemtaja Alikuwa Kamanda Ila Thread Zake Akijifanya MishangaziHahahhahahaha
Eti mishangazi mingine ambayo imeshakufa [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo unamlenga warumi au sio
Yule Jamaa Aliwapiga Watu Wakachakaa Mpaka MikoaniWazee wa kudownload pesa. Enzi hizo jf ilikua inanuka utajiri
Finally nami nimetajwa[emoji28]Sijui kwa nini nimewakumbuka member hawa , I hope walichangia sana mimi kujiunga na jf 2013 kabla ya I'd hii, walikua wanatrend Miss Neddy Khantwe [USER=192494]masai dada CharmingLady Preta atoto KING'asti
Valentina Madam B Evelyn Salt ladyfurahia CharmingLady ram
Baada ya ban mfululizo alienda kuandika makala kwenye gazeti la Mwana Halisi kulalamikia. Siku hiyo akafungulia. Ajabu baada ya siku 3 hivi akazingua na kupigwa ban tena..hahah Malaria Sugu kwake ban ni kama kugusa tuu alikua hata akisalimia tu anakula ban
Yule binti alikataa laivu, roho inaniuma hadi leo..😑Sanaaaa
Mara paaap faiza foxy katoa ofa yakutongozwa live mzee mayalla akajitosa
Mambo mchumba...🙋♂️Ungejisalimisha kwa Muunba wako. Bado unaabudu mzungu mpaka leo?
Kasoro mimi mkulima na wewe tu...😜Mda unakimbia sana enzi hizo humu kila mtu usalama😂
Ebu sema neno..😊Duuuh
Unajitahidi sana kwa kukumbuka mambo mengi mno mkuu...Hahahaha this is JF
Exactly, dem alikua anaongea matusi yule hadi raha, sijui bed sasa alikuaje. Hv bado yupo kweli?
Hii mada imenifanya niangalie nilijiunga JF lini. JF ya miaka 2008-2010 ilikuwa kama CIA database halafu ilikuwa na mambo ya kivyake vyake.
JF iliharibiwa hapo katikati nakumbuka kipindi flani (2013-2015) tukaanzisha group la uwekezaji na kilimo. Tulipigwa na member mmoja hivi na ndugu yake sitosahau.
Gangeni yajayo...
Vitunguu dakawa?
Heeee mange ????
Tobaaaa sikuwahi kujua