Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Hapana, nilishamwabudu Mwarabu wa Mecca tangu muda tuUngejisalimisha jwa Muunba wako. Bado unaabudu mzungu mpaka leo?
Naomba basi unielewe katika ombi langu bibie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, nilishamwabudu Mwarabu wa Mecca tangu muda tuUngejisalimisha jwa Muunba wako. Bado unaabudu mzungu mpaka leo?
Inferiority complex kills peoples relationship alotHalafu watu wenye show off mara nyingi hawapendani jus kuonyesha raia kwamba wanapendana ila wanapitia vitu vingi sana.
Kuna mdada FB alikuwa anampost sana mmewe akionyesha kwamba anampenda sana ,yeye ndiyo baba watoto ila juzi juzi naona kapost m/me mwingine na kusema ndiyo baba wa mwanae na si yule wa awali.... 😀
Oooza mamy [emoji3059][emoji3059][emoji3059] kumbe upoUngejisalimisha jwa Muunba wako. Bado unaabudu mzungu mpaka leo?
Aah kumbe bado unaabudu binaadam mwenzio, hufai hata chembe.Hapana, nilishamwabudu Mwarabu wa Mecca tangu muda tu
Naomba basi unielewe katika ombi langu bibie
Sio mimi. Sinaga wachumba humu mie am always single.
Thread kama hizi wala hutakiwi kujibu,soma tu endelea na maisha yako.Haya maneno mnayapata wapi jamani? [emoji23][emoji23]
Tupo sana, tunalea.
@uniqueflowerEm taja lishangazi limoja lililobadili id tulichangamkie.
Thread kama hizi wala hutakiwi kujibu,soma tu endelea na maisha yako.
Malaria sugu ni moja ya member mtata ambaye hata kuja tokea jfVita kali nisiyosahau ni ya Malaria Sugu vs Bujibuji. Hawa wakianza kutwangana unachukua popcorn na kuandaa mbavu zako[emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
MaashaAllah, msalimie Sana the boldDarling, sio kweli. Pole
Sawa, nikianza kumuabudu Allah utanikubalia ombi langu?Aah kumbe bado unaabudu binaadam mwenzio, hufai hata chembe.
Wakuabudiwa ni Allah, Muumba wako pekee. Hajazaa wala kuzaliwa na hafanani na yeyote/chochote.
Haya maneno mnayapata wapi jamani? [emoji23][emoji23]
Tupo sana, tunalea.
hahah Malaria Sugu kwake ban ni kama kugusa tuu alikua hata akisalimia tu anakula banMalaria sugu ni moja ya member mtata ambaye hata kuja tokea jf
Duuh, sawa Dada nashukuru umerudi jamvini, tutafutane basiAzarel, wewe ni ndugu yangu kabisa… Lazima ningekujuza.
Hayana ukweli hayo yanayosemwa, Asante.