Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Halafu watu wenye show off mara nyingi hawapendani jus kuonyesha raia kwamba wanapendana ila wanapitia vitu vingi sana.

Kuna mdada FB alikuwa anampost sana mmewe akionyesha kwamba anampenda sana ,yeye ndiyo baba watoto ila juzi juzi naona kapost m/me mwingine na kusema ndiyo baba wa mwanae na si yule wa awali.... 😀
Inferiority complex kills peoples relationship alot
 
Hapana, nilishamwabudu Mwarabu wa Mecca tangu muda tu

Naomba basi unielewe katika ombi langu bibie
Aah kumbe bado unaabudu binaadam mwenzio, hufai hata chembe.

Wakuabudiwa ni Allah, Muumba wako pekee. Hajazaa wala kuzaliwa na hafanani na yeyote/chochote.
 
Aah kumbe bado unaabudu binaadam mwenzio, hufai hata chembe.

Wakuabudiwa ni Allah, Muumba wako pekee. Hajazaa wala kuzaliwa na hafanani na yeyote/chochote.
Sawa, nikianza kumuabudu Allah utanikubalia ombi langu?
 
Back
Top Bottom