Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Hivi Dada Jane yupo kweli?

Kuna jamaa yetu humu alipata mchumba binti wa kikurya, basi ikabidi wakutane kwanza binti kafika amenyoa kipara na kavaa mzula wa Taifa stars, katika kuelezana mambo ya hapa na pale dada akampa masharti lazima wawe na zamu ya kupika na kufua ili haki iwe sawa kwa wote
 
Yaah nilikua nikiona comment yake nachanganyikiwa

Hivi ni wewe uliwahi kuandika una status ya positive? Lijamaa moja likanifuata kuniomba ushauri kwamba huyo aliyeathirika anajua maisha na atakua mke bora likasema nataka nijitose tu nioe, likasema kama anatumia na dawa virusi vitakua havina nguvu sijui lilikufuata au liliogopa?
 
Hivi ni wewe uliwahi kuandika una status ya positive? Lijamaa moja likanifuata kuniomba ushauri kwamba huyo aliyeathirika anajua maisha na atakua mke bora likasema nataka nijitose tu nioe, likasema kama anatumia na dawa virusi vitakua havina nguvu sijui lilikufuata au liliogopa?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ule uzi ilibidi niandike vile Manake mambo yakishakua mengi huku jf
Thanks God imeniokoa nazurura humu kwa amani kabisa

By the way mwambie jamaa nimeolewa Jamani and am negative [emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom