Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Mda unakimbia sana enzi hizo humu kila mtu usalama[emoji23]
Kuna jamaa lilikua linatudanganya lipo abroad
Mpaka tukawakana mababy zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mda unakimbia sana enzi hizo humu kila mtu usalama[emoji23]
Hivi Dada Jane yupo kweli?
Mkuu upo hauonekani
Umekua wale wanaotuma hela kwa mr kuku atafute mashamba yeye, alime, halafu avune wao watafuata pesa tu baada ya mauzo ya mazao!
Haikua hivyo
Sema tu mambo yakawa mengi
Hela zikaliwa
Kitunguu hakikupatikana hata cha mboga
😅😅😅😅 Unajikuta single womanKuna jamaa lilikua linatudanganya lipo abroad
Mpaka tukawakana mababy zetu
😜😜Kasoro mimi mkulima na wewe tu...😜
Ni Mange Kimambi kuna uzi mmoja aliandika alivyokutana na huyo mzungu DubaiLara1 siyo mange
Ni Mange Kimambi kuna uzi mmoja aliandika alivyokutana na huyo mzungu Dubai
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Unajikuta single woman
Zilikuwa nyingi, lakini nilipopigwa ilikuwa inahusu kilimo cha bamia na tikiti maji kule Mkuranga.Vitunguu dakawa?
Yaani tunakawachora kimya kimyaHii JF kuna watu wana historia nayo ya kuweza kutengeneza series yenye season 10 kila season episodes 10+.
JF sio kichaka ni pori kubwa sana.
Zilikuwa nyingi, lakini nilipopigwa ilikuwa inahusu kilimo cha bamia na tikiti maji kule Mkuranga.
[emoji14][emoji14][emoji14] Daby sukari ya waremboHuyo jamaa alikua crush wangu [emoji1787][emoji1787]
[emoji14][emoji14][emoji14] Daby sukari ya warembo
Yaah nilikua nikiona comment yake nachanganyikiwa
Hivi ni wewe uliwahi kuandika una status ya positive? Lijamaa moja likanifuata kuniomba ushauri kwamba huyo aliyeathirika anajua maisha na atakua mke bora likasema nataka nijitose tu nioe, likasema kama anatumia na dawa virusi vitakua havina nguvu sijui lilikufuata au liliogopa?
Wengi walikuwa wanampendaYaah nilikua nikiona comment yake nachanganyikiwa