Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.

Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.

Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.

Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.

Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Mtu aliyesoma Mass Communication ndio anaandika PUMBA hivi?

Mtu anayeandika matusi ni yule aliyekosa Hoja za maana na za msingi

Hana tofauti na watoto wa mtaani waliokosa malezi mazuri

Hao Lecturers wake inabidi tuwahoji
 
Ipo mingi sema kuijua inakuwa ngumu maana imebadili gear angani baada ya JF nayo kuvamiwa na vijana wengi wajuaji.

Hili kundi la hawa vijana ni wale waliohitimu vyuo kuanzia 2015 baada ya Magu kuchukua nchi na ajira kukoma so walikuwa na hasira za hovyo ukizingua ni matusi tu na walikuwa wakilamba mbususu wanakuja kuanzisha nyuzi ndio mishangazi ikaona noma ikaanza kupotea.
😂 😂 😂 😂
 
Ipo mingi sema kuijua inakuwa ngumu maana imebadili gear angani baada ya JF nayo kuvamiwa na vijana wengi wajuaji.

Hili kundi la hawa vijana ni wale waliohitimu vyuo kuanzia 2015 baada ya Magu kuchukua nchi na ajira kukoma so walikuwa na hasira za hovyo ukizingua ni matusi tu na walikuwa wakilamba mbususu wanakuja kuanzisha nyuzi ndio mishangazi ikaona noma ikaanza kupotea.
sema na wao walikua wanawapanga vidume bila hata wao kujijua, enzi zile walikua wanakutana na vidume walugaluga wengi wanawapanga tu na ukiwakuta kwenye thread zao unajua watu wa maana kumbe watembeza papa tu,,,,,baada ya vijana wa ovyo kuanza kuwalamba na kuweka siri zao humu wengi wakakimbia au kubadili i.d
 
Jf ya kpnd hiki na miaka kurudi nyuma hadi 2012 ndo ilikua jf, nakumbuka hata admin wa rahatupu blog alikuaga na account humu, mdada fln hv nmesahau jina lake. Kulikua kuna utofauti kati ya wakubwa na wadogo, sikuhizi wote ni humohumo
Alikuwa Nancy Mitisa.
Sasa hv kabadili user name....anatumia ingine, ila tuko nae humu Jf Teslarati
 
Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.

Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.

Huyu GENTAMYCINE popoma mtutsi uchwara kama sikosei kwaanzia mwishoni 2013 akaanza bifu kali na mwanadada intelligent Nifah.

Lilikuwa bifu la aina yake. Hili bifu liliendelea hadi 2015 ama mwanzoni 2016. Baada ya hapo bifu liliisha.

Ila popoma lilizidi kukera. Yani alikuwa anamshambulia sana mzee wwtu kipenzi rais wa mioyo ya watanzania Ndugu Edward N Lowassa. Na hapo ndipo alijenga maadui wengi.
Duuh
 
Back
Top Bottom