Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimekukubali unakumbukumbu. Nzur sanaGazeti Alasiri...kila siku Alasiri...kwa bei nafuu...Shilingi Mia Moja tuu...Kwa habari motomoto, za Kimataifa, Biashara na Michezo...Usilikose gazeti Alasiri.
AsanteMkuu nimekukubali unakumbukumbu. Nzur sana
Jarida la saniKuna gazet moja la picha walikuwa wanatoa sana historia ya kifo cha 2pac kwa njia ya michoro....
Sani ndo gazeti nililokuwa napenda kusoma na limenisaidia sana nikawa naweza kusoma haraka bila kukwama kwama nikiwa darasa la kwanzaJarida la sani
General tyre tair imala kwa taifa leeeeetuTairi general kutoka Arusha Tanzania
Mpwa msamehe bure mtaani kugumu hadi watu wanakumbuka matangazo ya mqaka 47Wanafunzi walioomba kujiunga na Elimu ya Juu wengi wamekosa nafasi.. Halafu unatuletea habari za Chai Jaba
mkuu ila huu ukurasa ni wa jokes.....haki yake .....iWanafunzi walioomba kujiunga na Elimu ya Juu wengi wamekosa nafasi.. Halafu unatuletea habari za Chai Jaba
Kuna moja lilikua la condom jamaa anaivisha kwwnye re jeta ya gar sjui
Hivi reys bado ipo?Kuna lile la redio tanzania,ilikiwa asubuh utasikia jambo...sijambo jirani,hamjambo africa mashariki hatujambo...saaafi sana unajianda kwenda skuli umejipaka rays huna shida na mtu
cyo levor bhna ni Revolacc wazamn tunakumbuka vzrMambo vipi wanajamii.
Kwa wale vijana wenzangu tuliozaliwa enzi za Nyerere na mwinyi kuna matangazo haya utakuwa unayakumbuka. Tangazo la kwanza ni lile linaloanza hivii "Tueleze siri ya Mafanikio yako", kisha yule mrembo anajibu "Sio siri ni Levora" nakumbuka kipindi kile watu walisema kuwa yule binti ni mtoto wa tajiri Mengi.
Tangazo la Pili ni la chai jaba. Nadhani kama Diamond platnum angekuwa anafanya muziki kipindi kile wangempa hii a.k.a "Chai jaba" .
Kwa aliye na Video ama audio ya matangazo haya atuwekee hapa tujikumbushie na pia kama unayakumbuka matangazo mengine yaliyovuma enzi zile hebu tutajie hapo chini
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]