Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Kuna katuni moja ya KADIDI TOTO TUNDU...nimesahau gazeti ila dogo alikua tundu sana...Tangazo flani la Rfa ndo fm ilikua inashika sana "We soggy wewe kata mti panda mti" saa nane iyo wanachapa bongo fleva kule radio one kuna tangazo lakwa Fujo djz Abubakar Said kwa fujo djz halafu radio one stereo hapo mmetoka prepo ijumaa saa nne ni kula bongo fuleva tuu

Pale kenya KBC jumapili...jee huu ni uugwanaa na Leonald mambombotela

"Pika kwa Kimboo"
"Wewe mama kadogoo....Siyoo siri ni roycoo mchuzi mix"
 
Mambo vipi wanajamii.

Kwa wale vijana wenzangu tuliozaliwa enzi za Nyerere na mwinyi kuna matangazo haya utakuwa unayakumbuka. Tangazo la kwanza ni lile linaloanza hivii "Tueleze siri ya Mafanikio yako", kisha yule mrembo anajibu "Sio siri ni Levora" nakumbuka kipindi kile watu walisema kuwa yule binti ni mtoto wa tajiri Mengi.

Tangazo la Pili ni la chai jaba. Nadhani kama Diamond platnum angekuwa anafanya muziki kipindi kile wangempa hii a.k.a "Chai jaba''.

Kwa aliye na Video ama audio ya matangazo haya atuwekee hapa tujikumbushie na pia kama unayakumbuka matangazo mengine yaliyovuma enzi zile hebu tutajie hapo chini.
Mimi ni Maimuna.................
 
Mimi naitwa jambo kubwa je wewe unaitwa nani.. Mm naitwa jambo katkat na wew jee.. Mm naitwa jambo ndogo.. Ifanye ngozi yako nyororo lain yeny afya kwa kutumia jambo losheni yenye vitamin... Jambo ni losheni yako kwa wakat wote na kwa familia yako.. Nunua sasaaa
 
Translation " baba yake chale ana viraka viwili vinaulizana umekuja lini, nimekuja Jana nikashinda leoooooooo" kale ka beat ya wimbo kipindi cha michezo RTD sijui kama kale ka beat bado kapo
 
Mimi naitwa jambo kubwa je wewe unaitwa nani.. Mm naitwa jambo katkat na wew jee.. Mm naitwa jambo ndogo.. Ifanye ngozi yako nyororo lain yeny afya kwa kutumia jambo losheni yenye vitamin... Jambo ni losheni yako kwa wakat wote na kwa familia yako.. Nunua sasaaa
Ahaha hii wakat wa igizo la kaole sikumbuki ilikua itv au tvt
 
Mshindi eenh, Mshindi ni sabuni ya mche, yenye harufu nzuri hiyo ilikuwa radio Tanzania dar es salaam asubuhi Kama saa 12.15.. Wazee wenzangu ndio watakao Kumbuka Ila Nyie Vijana wa ..com,, hamtaelewa Hata chembe
 
Back
Top Bottom