Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

kuna tangazo moja la condom, lilinifanya nipigwe kofi na bimkubwa sitokuja sahau, lilikuwa jamaa anatembea kwenye mvua anafunika mpenzi wake na koti halaf kuna wimbo fulan mzurii mwishoni nikamalizia "kama kweli unampenda utamlinda!" bwana weee lilekofi nalikumbuka hadi kesho
Nalikumbuka vizuri kaka hili Tangazo. Yule mschana alieigiza lile tangazo ni nani yule, mm mpaka leo simjui ni mzuri sana unaweza kunisaidia jina lake japo ni google tu mkuu.

Mwingine lile tangazo la vodacom demu mkali sana anampa jamaa namba ya simu kwa kutumia mrija anaokunywa soda kama kuichora namba 7 kwa mrija.

Kama una majina yao hawa madada hebu nitajie japo ni google tu[emoji1]
 
Sanifu gazeti pendwa sana enzi zile, hasa kwa watu tuliokataa kukua.
Kulikuwa na wachoraji mahiri kama Oscar Makoye (Tolu), Nathan Mpangala (kijast); Fadhil Mohamed (kabwela); Noah Yongoro, Abdul Kingo, king kinya na wenngine kazaa.
Lile gazet liko wap siku hizi??? Kuna yule jamaa alikuwaga Mrefu balaa
 
Mimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia

Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.

Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?

Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu

Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye Jina lako herufi ya mwanzo toa D kisha weka B then nenda kacheje utuache wakubwa faragha. Umechikia mtoto mjuri eh? [emoji4]
 
Sanifu.
Kuna akina Tolu Mnyama, Bingwa wa Rivasi.
Pampula na kishoka bila kumsahau Baba ubaya ndugu yake kaisi wazee wa valangati. Toto kijiwe stick mzee wa kata kei ya magotini. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nalikumbuka vizuri kaka hili Tangazo. Yule mschana alieigiza lile tangazo ni nani yule, mm mpaka leo simjui ni mzuri sana unaweza kunisaidia jina lake japo ni google tu mkuu.

Mwingine lile tangazo la vodacom demu mkali sana anampa jamaa namba ya simu kwa kutumia mrija anaokunywa soda kama kuichora namba 7 kwa mrija.

Kama una majina yao hawa madada hebu nitajie japo ni google tu[emoji1]
🙂 🙂 majina sikumbuki aisee, sema yalikuwa matangazo mazuri sana, au hata lile la voda millionaire yupo mr. nice, lilikuwa zuri sana
 
🙂 🙂 majina sikumbuki aisee, sema yalikuwa matangazo mazuri sana, au hata lile la voda millionaire yupo mr. nice, lilikuwa zuri sana
nakumbuka verse hizi...
Maisha ya kifahari,
Ya kifalme na kitajiri,
Vyote hivi unastahili,
Ukiwa voda Milionea.. Hoo hohoho!!!
 
🙂 🙂 majina sikumbuki aisee, sema yalikuwa matangazo mazuri sana, au hata lile la voda millionaire yupo mr. nice, lilikuwa zuri sana
Poa kk ngoja nikukumbushe tangazo ulilopigwa kofi na mzazi wako(pole lkn)[emoji1] [emoji1] lilikuwa linaimba hivi ngoja nikukumbushe.

Nakupenda mpenzi wanguu
Nakupenda kwa vitendoo
Nimekupa moyo wanguu
Nitakulinda na kinga.
 
Kale ka beat huwezi amini ninacho na ndio ringtone ya simu yangu..kila nkipigiwa simu naona wazee wananiangalia[emoji3] [emoji28] [emoji3] na kale ka Majira ninacho pia
Umetisha mkuu, nakumbuka hako ka beat kakipigwa kabla hujaoga kama siku hiyo skani msosi ni wali binzi ujue kuna hatari ya kulala bila Kula, ila kama msosi n ugali dagaa kuna kuwa hamna noma sana.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hapo kwenye Jina lako herufi ya mwanzo toa D kisha weka B then nenda kacheje utuache wakubwa faragha. Umechikia mtoto mjuri eh? [emoji4]
Nimekusikia bee..ila samahani wewe babu au bibi? ?
 
Kale ka beat huwezi amini ninacho na ndio ringtone ya simu yangu..kila nkipigiwa simu naona wazee wananiangalia[emoji3] [emoji28] [emoji3] na kale ka Majira ninacho pia
Umetisha mkuu, nakumbuka hako ka beat kakipigwa kabla hujaoga kama siku hiyo skani msosi ni wali binzi ujue kuna hatari ya kulala bila Kula, ila kama msosi n ugali dagaa kuna kuwa hamna noma sana.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kale ka beat huwezi amini ninacho na ndio ringtone ya simu yangu..kila nkipigiwa simu naona wazee wananiangalia[emoji3] [emoji28] [emoji3] na kale ka Majira ninacho pia
Umetisha mkuu, nakumbuka hako ka beat kakipigwa kabla hujaoga kama siku hiyo skani msosi ni wali binzi ujue kuna hatari ya kulala bila Kula, ila kama msosi n ugali dagaa kuna kuwa hamna noma sana.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Umetisha mkuu, nakumbuka hako ka beat kakipigwa kabla hujaoga kama siku hiyo skani msosi ni wali binzi ujue kuna hatari ya kulala bila Kula, ila kama msosi n ugali dagaa kuna kuwa hamna noma sana.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hatari sana mkuu...siku ya wali maharage lazima nioge na niwe msafiiiii hapana chezea wali[emoji12] [emoji14]
 
Mambo vipi wanajamii.

Kwa wale vijana wenzangu tuliozaliwa enzi za Nyerere na mwinyi kuna matangazo haya utakuwa unayakumbuka. Tangazo la kwanza ni lile linaloanza hivii "Tueleze siri ya Mafanikio yako", kisha yule mrembo anajibu "Sio siri ni Levora" nakumbuka kipindi kile watu walisema kuwa yule binti ni mtoto wa tajiri Mengi.

Tangazo la Pili ni la chai jaba. Nadhani kama Diamond platnum angekuwa anafanya muziki kipindi kile wangempa hii a.k.a "Chai jaba''.

Kwa aliye na Video ama audio ya matangazo haya atuwekee hapa tujikumbushie na pia kama unayakumbuka matangazo mengine yaliyovuma enzi zile hebu tutajie hapo chini.

mkuu hilo tangazo la revola lilikuwa na version tatu ila version hadi tukawa tunasema ni mtoto wa mengi au wengne tulikuwa tunasema ni kiwete 7bu alikuwa kakaa chini lipo hivi


jamaa:"ngozi yako ni laini na nyololo"
demu:" mmh kama halili"
jamaa: "hakika ww unatumia REVOLA"
demu: "ni kweliii"
halafu kina kuja kimziki
[emoji445] tuliliiiiiii[emoji445]

halafu kuna jingne kacheza MILIAM ODEMBA linasema
"kuwa na ngozi zuri haitokani na VIPODOZI ghalii( hapo tunaoneshwa dresing table imejaa vipodozi vya ukwelu)
jamaa anaendelea
"siri ni moja tu zingatia
kura vizuri(tunaoneshwa matunda ya ukweli)
kulala vizuri
(tunoneshwa ODEMBA kalala katika kitanda cha ukweli)
kushiriki katika mazoezi mara kwa mara(tunaoneshwa ODEMBA anapiga tiz)
kisha hapo safisha ngozi yako na sabuni yenye mafuta ya kurahinisha MWILI sabuni ya REVOLA

ila matangazo ambayo nimeyamis ni mawiri moja la kideo la SAFARI NI SAFARI inaoneshwa Kisoda cha bia ya Safari kinasafili sehemu mbalimbali kea njia tofauti
Scene yake hipo hivi linaanzia bar inafunguliwa BIA halafu kisoda (tulizoea hivyo ila jina halisi ni kizibo) kinanadondojjea katika kreti janaa anabeba abaweka katika gari basi hapo safari ndo inaanza kinadondoka katika maji mmasai anakiokota anaweka katika kiatu chake anavuka barabara kinadondoka kinanasia katika tairi la gari yaan lilijuwa linanipa burudani sana
[emoji445] safari ni safari iwe mchana au usiku kiangazi au masika safari ni safari[emoji445]

jingine ni la radio la fanta hasa radio one
fredy mbahiri anafika anawaambia "AISEE AISEE inakuaje washikaji"
unapigwa mchango wa kununua fanta KUBWA wenzia wanachanga ye anatoa shi 10 sijui vile yaan hana kitu hadi wenzake wanaguna "aaaah frediii "hili nimelisahau kidogo maneno yake anayekumbuka anipe mistari yake

kuna baada ya kazi ni wakati wa TUSKER laga
na moja la SWEETMETHOR (Sigara SM) hilo ni tangazo la kwanza la SIGARA LA VIDEO tz enzi hizo CTN baadae DTV tgen ITV jamaa yupo katika mbuga ya wanyama yaan SCENE yake nimeisahau kidogo

kuna la rangi ya goodstar zebwera na mashaka
mashaka : kijanaa nimepata wapangaji wanaonilipa kodi nyingi zaidii
kwahiyo ni lazima uhameee
zembwera: MZEE nimepaka rangi nyumbaaa
bazi mpaka anazeeka rangi haipauki teh
 
Usiku wa kuamkia leo nmeota naangalia kipind cha NIRVANA kupitia EATV , ulipofika muda wa matangazo wameweka tangazo la FIESTA IMOOOOOOOO
 
Back
Top Bottom