Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni muongoMkuu usiwaze vitu vidogo hivyo
Hata mimi sijawahi kutajwa na sijali
Angalia usijinyonge
MkuuPost 72. Hujatimiza hata miezi miwili. Kifupi hujulikani.
Ndio hivyo mkubwaKwahiyo unapata sonona just because somebody hajaku mention kwenye huo uzi wako???? 🤒 😎
Kama vijana wa taifa hili ndo hawa, hakika tuna safari ndefu sana.
Mimi nina 40+ mkuu sasa niseme?Vijana mnasikitika Kwa mambo ya kijinga sana siku hizi ni kama mnafanya mchezo na sonona
Cheka bhana, sonona ni mbayaMbona sinona , hakuna kujuana.pole mkuu kaka😂😂😂😂
Mi ni kijana wa makamoForm six mmerudi sasa likizo kuanza kutafuta attention mitandaoni,..
Anyway nimekumention kaangalie
Habari ya leo binti yanguForm six mmerudi sasa likizo kuanza kutafuta attention mitandaoni,..
Anyway nimekumention kaangalie
Salama bamkubwa unaendeleaje?, za masiku?Habari ya leo binti yangu
Jifunze kugangamala dogoMimi nina 40+ mkuu sasa niseme?
Safi tuh,kitambo sana bila kukuonaSalama bamkubwa unaendeleaje?, za masiku?