Mnanitenga sana wakuu

Mnanitenga sana wakuu

Wenzio tuna muongo mmoja humu na hatujawahi hata kutajwa kwenye walevi/wavivu/watu wa hovyo na tunaenjoy JF....
Wewe mwezi mmoja Tu unataka moderator wakufahamu wewe ni nan?
Hata ban hujawai pigwa unalazimisha kujulikana
 
Wenzio tuna muongo mmoja humu na hatujawahi hata kutajwa kwenye walevi/wavivu/watu wa hovyo na tunaenjoy JF....
Wewe mwezi mmoja Tu unataka moderator wakufahamu wewe ni nan?
Hata ban hujawai pigwa unalazimisha kujulikana
Mabangi nakujua vema mimi sina mwezi humu
 
Hahaha, bora wewe hata unafahamu huo uzi upo... Sisi ambao tulikuwa hata hatufahamu kama upo, si tumetupwa kabisa sio kutengwa😃
 
Back
Top Bottom