Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inakuwa kiasi gani?Remittance
Ata kwa ndugu naona maisha ya kawaida tuWengi hawaendi kwa lengo la kuleta maendeleo tz, lengo ni kujiinua wao na nduguzo kiuchumi
Hayo malengo ya kujenga viwanda hawana
Pambaneni, mmoja aende mje mtupe mrejeshoNgoja nisome comments tu maana ata ukoo wenyewe hakuna aliyewahi peleka mguu nje ya nchi
Nawaandalia sehemu ya kuja kuzikiwaWewe ndugu zako wa nje wananufaika nini na wewe
Ndio hivyo, huwezi kula ada yangu, ushindwe ata kunifungulia mradi wa kutotolesha vifarangaMaendeleo ya mtu mwingine yategemewe na mtu mwingine?😳
Kiasi chochote.Inakuwa kiasi gani?
🤣🤣🤣sahau....binadamu wa leo?Ndio hivyo, huwezi kula ada yangu, ushindwe ata kunifungulia mradi wa kutotolesha vifaranga
Nawapatia nyuzi za kutafakarisha kama hiziTuanze na wewe kwanza mkuu! Watu wako wa karibu wananufaika vipi na kazi unayofanya?
Ndio maendeleo hayo,maendeleo ya nchi huanzia kwa mtu....Wengi hawaendi kwa lengo la kuleta maendeleo tz, lengo ni kujiinua wao na nduguzo kiuchumi
Hayo malengo ya kujenga viwanda hawana
tatizo mnadhani mtu akienda huko anaenda kuwa bilionea...Ata kwa ndugu naona maisha ya kawaida tu
Hela ya mboga au hela ya uwekezaji?Kiasi chochote.
Zanzibar wakazi wake wengi huwa wanatumiwa pesa na ndugu/jamaa walio katika nchi mbalimbali Duniani
Tatizo ni nini sasa🤣🤣🤣sahau....binadamu wa leo?
Kama huo ndiyo msaada kwa ndugu zako wa karibu, Hata hao jamaa wanaofanya kazi nje ya nchi msaada wao wanakupa mawazo ya kuwaza kuwa wanafanya kazi njeNawapatia nyuzi za kutafakarisha kama hizi