Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Tunataka uwekezaji endelevu, hiyo miamala hata kwenye magenge ya nyanya tunaweza kuzipataAcha uongo sema mnapenda miamala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka uwekezaji endelevu, hiyo miamala hata kwenye magenge ya nyanya tunaweza kuzipataAcha uongo sema mnapenda miamala
Ndio wanatakiwa waanze kuamkaViwanda/company, kutoweka taarifa openly nafikiri ndio sababu ya sisi kushindwa kuona/kutambua lakini wanafanya vitu vya kueleweka...
Ningetoa mfano wa kiwanda + kiwanda cha usindikaji pilipili lakini si sahihi kuweka info wazi, wanajitahidi kuona fursa kidogo.
Ulimsomesha apate elimu au ulimsomesha ili umpangie ashindwe kuishi maisha yake??Kama mzazi nasikitika kupoteza hela ya kumsomesha
Kuishi maisha yasio na dira ni sawa na kupoteza adaUlimsomesha apate elimu au ulimsomesha ili umpangie ashindwe kuishi maisha yake??
Viongozi wenu wasilale, wakiona watu watu wanajitutumua kwenye fursa nao huona fursa kuwakandamiza na mambo ya ajabu.
Wanashindwa kuwekeza kwenye vitu muhimuWakuu sha fanikiwa maringo mengi
ndio shida ya wengitatizo mnadhani mtu akienda huko anaenda kuwa bilionea...
Maoni binafsiWengi hawaendi kwa lengo la kuleta maendeleo tz, lengo ni kujiinua wao na nduguzo kiuchumi
Hayo malengo ya kujenga viwanda hawana
Na wewe utanufaika na rambirambi watakazochangiwaNawaandalia sehemu ya kuja kuzikiwa