Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Tunaamini madola ukiyabadilisha unapata hela nyingi za kwetutatizo mnadhani mtu akienda huko anaenda kuwa bilionea...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaamini madola ukiyabadilisha unapata hela nyingi za kwetutatizo mnadhani mtu akienda huko anaenda kuwa bilionea...
Kukosa shukrani na ubinafsiTatizo ni nini sasa
Mtegemea cha ndugu hufa maskini chief na kimfaae mtu chake chief unauliza unanufaikaje kwa mali za ngugu zako waliko nnje ww mtoto wakiume muombe connection nawe huende huko uone kama rahisi kama unavyoandika hapa uone kama nawe utatuma hata mia kwa hao ndugu zakoKumekuwa na shauku kwa vijana wengi kutamani kwenda kufanya kazi nje ama kuishi nje.
Tukitegemea kuishi kwao nje, watafanya mambo makubwa hapa nchini, kama vile umiliki wa viwanda, umiliki wa makampuni makubwa n.k
Lakini haya yote hayaonekani, tatizo ni nini? Au nyie mnanufaikaje kwa hao jamaa zenu kuwa nje?
Huenda wanafanya makubwa lakini hatufahamu....Kumekuwa na shauku kwa vijana wengi kutamani kwenda kufanya kazi nje ama kuishi nje.
Tukitegemea kuishi kwao nje, watafanya mambo makubwa hapa nchini, kama vile umiliki wa viwanda, umiliki wa makampuni makubwa n.k
Lakini haya yote hayaonekani, tatizo ni nini? Au nyie mnanufaikaje kwa hao jamaa zenu kuwa nje?
Labda miaka 10 ijayo mkuuPambaneni, mmoja aende mje mtupe mrejesho
Tatizo hatuoni matokeoKama huo ndiyo msaada kwa ndugu zako wa karibu, Hata hao jamaa wanaofanya kazi nje ya nchi msaada wao wanakupa mawazo ya kuwaza kuwa wanafanya kazi nje
Au mazingira ya huko yanawabana?Kukosa shukrani na ubinafsi
Kwa mazingira hayo si bora aje apambane na kilimo hukuMtegemea cha ndugu hufa maskini chief na kimfaae mtu chake chief unauliza unanufaikaje kwa mali za ngugu zako waliko nnje ww mtoto wakiume muombe connection nawe huende huko uone kama rahisi kama unavyoandika hapa uone kama nawe utatuma hata mia kwa hao ndugu zako
Makubwa kama yapi, uchimbaji wa mafuta au?Huenda wanafanya makubwa lakini hatufahamu....
Kuwaandalia eneo kwa ajili ya mazikoWalioko nje wananufaikaje na ww uliepo usukumani?
Hilo eneo lipo tuKuwaandalia eneo kwa ajili ya maziko
Tunawashirikisha vingi, huku kuna fursa za kutosha, ardhi ipo, 'cheap labur' wapo wa kutoshaTafuta hela wewe acha kutegemea kunufaika kupitia watu wsliojilipua na kwenda kutafuta maisha sehemu ambapo hawana ndugu yeyote.
Onesha kwanza namna watakavyonufaika na wewe kabla hujafikiria kunufaika kupitia waoe.
Ata wakitaka ekari 10, watapataHilo eneo lipo tu
Viwanda/company, kutoweka taarifa openly nafikiri ndio sababu ya sisi kushindwa kuona/kutambua lakini wanafanya vitu vya kueleweka...Makubwa kama yapi, uchimbaji wa mafuta au?
Punguza matarajio kwenye maisha ya watuKumekuwa na shauku kwa vijana wengi kutamani kwenda kufanya kazi nje ama kuishi nje.
Tukitegemea kuishi kwao nje, watafanya mambo makubwa hapa nchini, kama vile umiliki wa viwanda, umiliki wa makampuni makubwa n.k
Lakini haya yote hayaonekani, tatizo ni nini? Au nyie mnanufaikaje kwa hao jamaa zenu kuwa nje?
Acha uongo sema mnapenda miamalaTunawashirikisha vingi, huku kuna fursa za kutosha, ardhi ipo, 'cheap labur' wapo wa kutosha
Kama mzazi nasikitika kupoteza hela ya kumsomeshaPunguza matarajio kwenye maisha ya watu