Mnanufaikaje na watoto, ndugu, au marafiki wanaofanya kazi huko nje ya nchi?

Mnanufaikaje na watoto, ndugu, au marafiki wanaofanya kazi huko nje ya nchi?

Kumekuwa na shauku kwa vijana wengi kutamani kwenda kufanya kazi nje ama kuishi nje.

Tukitegemea kuishi kwao nje, watafanya mambo makubwa hapa nchini, kama vile umiliki wa viwanda, umiliki wa makampuni makubwa n.k

Lakini haya yote hayaonekani, tatizo ni nini? Au nyie mnanufaikaje kwa hao jamaa zenu kuwa nje?​
Mtegemea cha ndugu hufa maskini chief na kimfaae mtu chake chief unauliza unanufaikaje kwa mali za ngugu zako waliko nnje ww mtoto wakiume muombe connection nawe huende huko uone kama rahisi kama unavyoandika hapa uone kama nawe utatuma hata mia kwa hao ndugu zako
 
Kumekuwa na shauku kwa vijana wengi kutamani kwenda kufanya kazi nje ama kuishi nje.

Tukitegemea kuishi kwao nje, watafanya mambo makubwa hapa nchini, kama vile umiliki wa viwanda, umiliki wa makampuni makubwa n.k

Lakini haya yote hayaonekani, tatizo ni nini? Au nyie mnanufaikaje kwa hao jamaa zenu kuwa nje?​
Huenda wanafanya makubwa lakini hatufahamu....
 
Mtegemea cha ndugu hufa maskini chief na kimfaae mtu chake chief unauliza unanufaikaje kwa mali za ngugu zako waliko nnje ww mtoto wakiume muombe connection nawe huende huko uone kama rahisi kama unavyoandika hapa uone kama nawe utatuma hata mia kwa hao ndugu zako
Kwa mazingira hayo si bora aje apambane na kilimo huku
 
Tafuta hela wewe acha kutegemea kunufaika kupitia watu wsliojilipua na kwenda kutafuta maisha sehemu ambapo hawana ndugu yeyote.

Onesha kwanza namna watakavyonufaika na wewe kabla hujafikiria kunufaika kupitia waoe.
Tunawashirikisha vingi, huku kuna fursa za kutosha, ardhi ipo, 'cheap labur' wapo wa kutosha
 
Makubwa kama yapi, uchimbaji wa mafuta au?
Viwanda/company, kutoweka taarifa openly nafikiri ndio sababu ya sisi kushindwa kuona/kutambua lakini wanafanya vitu vya kueleweka...

Ningetoa mfano wa kiwanda + kiwanda cha usindikaji pilipili lakini si sahihi kuweka info wazi, wanajitahidi kuona fursa kidogo.
 
Kumekuwa na shauku kwa vijana wengi kutamani kwenda kufanya kazi nje ama kuishi nje.

Tukitegemea kuishi kwao nje, watafanya mambo makubwa hapa nchini, kama vile umiliki wa viwanda, umiliki wa makampuni makubwa n.k

Lakini haya yote hayaonekani, tatizo ni nini? Au nyie mnanufaikaje kwa hao jamaa zenu kuwa nje?​
Punguza matarajio kwenye maisha ya watu
 
Back
Top Bottom