Mnanufaikaje na watoto, ndugu, au marafiki wanaofanya kazi huko nje ya nchi?

Ndio wanatakiwa waanze kuamka
 
Viongozi wenu wasilale, wakiona watu watu wanajitutumua kwenye fursa nao huona fursa kuwakandamiza na mambo ya ajabu.
Nadhani sisi wenyewe bado hatujaamua kuamka tu; kuna maeneo yanauza laki kwa eka, sasa kama wangewekeza ufugaji wa ng'ombe na kuuza maziwa ingekuwa tatizo?​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…