Mnaoamini Mungu, kwenye vichwa vyenu mna "imagine" sawa jinsi alivyo?

kuna Mungu na mungu
 
Mm kabla sijapoteza muda na nguvu zangu kukujibu nahitaji kujua lengo ya kuuliza maswali hayo ni lipi??????
Maswali ulouliza hapo ni ya kawaida na haujaanza ww wapo waliokuwa kabla yako pia waliuliza na majibu pia hapo pamoja na dalili tosha kwa wenye akili.

Ila nikitambua lengo la muulizaji najua jibu lipi linamfaa kwa makusudio yake
 
Kumbe waamini kwamba imani yako sio potofu, unajidhihirishaje ambae atajifunza imani nyingine kwamba atapotoka?
Kwanini isiwe anaujua ukweli au kupata iman nyingine kamili?

Pamoja na kwamba unaiamini imani yako, bado hujaweka sababu kwanini iwe hiyo isiwe ingine, kwa sababu zip
 
Hayo maswali yako ndio yanathibitisha mungu yupo?
Tatizo unaogopeshwa kiasi cha kujindwa ku-reasoning..
Kama mungu angekuwepo kusibgekuuwa na maswali
 
Mambo gani umetendewa kiasi cha kuuamini mungu yupo?
 
'Science without religion is Lame and Religion without science is Blind'

Mkuu ukituacha sisi tunao amini katika Mungu, wewe una amini katika nini?
Siamini ktk chochote ambacho kinaitwa Mungu au shetan.
Naamini Mungu na shetan ni fikra zilizotengenezwa na binadam.
 
Mbona unapenda kunitisha?
Unajua km Mungu yupo hupaswi kunitisha, kwani mwisho wa siku si wewe wala mimi tutakufa, tena waweza tangulia ww
 
Mimi ninaamini katika Mungu, na Image yake ambayo naiweka Kichwani pale linapotajwa Jina la Mungu basi ninayo mimi mwenyewe.

Sasa basi so long as hii image ya Mungu iliyoko Kichwani sijawahi kumtajia binadamu yeyote yule awaye hivyo sina uhakika kama na yeye anafikiria Image kama mimi au nae ana Image yake, kwanza awali ya yote Image anayofikiria yeye huyo mwengine is none of my business.
 
Lengo la maswali hayo ni kupata majibu.
Unasemaje?
 
Jibu maswali hapo juu, acha blaa blaa
Maswali ambayo hayana msingi halafu unataka tu ujibiwe.

Nimesema hapo kuwa wewe unauliza kama watu wote wanafikiria sawa juu ya kitu ambacho hawajawahi kukiona na wala hawana mfanano wake.

Sijui ulifikiria nini kabla ya kuuliza hili swali? na ndiyo maana nasema nyie watu mna stress.
 
Siamini ktk chochote ambacho kinaitwa Mungu au shetan.
Naamini Mungu na shetan ni fikra zilizotengenezwa na binadam.
Sasa mkuu kama unaamini kuwa Mungu na shetani ni fikra zilizotengenezwa unatakaje kujua kuwa tunao amini uwezo wa Mungu jinsi tunavyo mfikiria Mungu wote tunajenga picha moja?

Ulivyo kuwa mdogo uliwahi kucheza mchezo uliokuwa unahitaji kufikiria namba ukiwa na wenzako Kisha unaambiwa 'izidishe' 'itoe' 'ijumlishe' na namba fulani Kisha unapewa jibu?

Kama jibu ndiyo je wote mlikuwa mnafikiria jibu moja?
 
Kama hamjawahi kumwona na hamjui mfanano wake, vichwa vyenu v8namuwaza sawa? yeye anajua mnatofautiana kumuwaza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…