Mnaoamini Mungu, kwenye vichwa vyenu mna "imagine" sawa jinsi alivyo?

Mnaoamini Mungu, kwenye vichwa vyenu mna "imagine" sawa jinsi alivyo?

Sasa mkuu kama unaamini kuwa Mungu na shetani ni fikra zilizotengenezwa unatakaje kujua kuwa tunao amini uwezo wa Mungu jinsi tunavyo mfikiria Mungu wote tunajenga picha moja?

Ulivyo kuwa mdogo uliwahi kucheza mchezo uliokuwa unahitaji kufikiria namba ukiwa na wenzako Kisha unaambiwa 'izidishe' 'itoe' 'ijumlishe' na namba fulani Kisha unapewa jibu?

Kama jibu ndiyo je wote mlikuwa mnafikiria jibu moja?
Hapana tulikuwa hatufikirii jibu moja.
Je nanyi mnaoamini Mungu mnamajibu tofauti vichwani mwenu kuhusu yeye?
 
Wee mpagani umekula Maharage ya wapi?
Hapana mkuu.. Jamaa sio mpagani..! Hili kosa kubwa sana kumuita mpagani. Mpagani ni mtu yeyote asiyeamini miungu ya mainstream religion (abrahamic religions to be precise) wale wanaoabudu nature and other things ndo tunaweza waita wapagani na kiujumla dini hizi huitwa paganism.

Mimi na huyo jamaa (mleta mada) pamoja na wengine kama akina @freeideas unaweza kutuita Atheists, na hii haimaanishi kuwa tunaimani or tunadhani.. Sisi tuko sure kuwa hakuna mungu. Yaani this is beyond a belief. Its a fact..! Kama tungesema tunadhani pekee or hatuna uhakika kama yupo or hayupo, basi tungeitwa agnostic..! [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kama hamjawahi kumwona na hamjui mfanano wake, vichwa vyenu v8namuwaza sawa? yeye anajua mnatofautiana kumuwaza?
Hebu labda eleza unachotaka kukieleza baada ya hayo maswali pengine unaweza kueleweka.
 
Hatujengi taswira yoyote ila ni imani tu, km iliyokuaminisha wewe Mungu hayupo .
 
Nyuzi za marudio hizi...


Au ndio jambo likisemwa sana litageuka kuwa kweli?
 
Mbona unapenda kunitisha?
Unajua km Mungu yupo hupaswi kunitisha, kwani mwisho wa siku si wewe wala mimi tutakufa, tena waweza tangulia ww
Nadhani katika maisha yako umeshawahi kutishwa, kweli hayo maneno hapo ni kitisho kwako?
 
Kama unafahamu imani yako ina mapungufu, unaweza kuyabaini?? Mapungufu hayo yanatatulika? Kama ndio kwann hayajatatulika?? Kama hapana tupe mantiki ya kuamini imani yenye mapungufu na utuambie ni kwa vipi imani yenye mapungufu itakufikisha katika ukamilifu wa Mungu kama mnavyompambanua??
Ufafanuzi kidogo:-

Imani haina mapungufu, ila mwamini ndiye mwenye mapungufu ndiyo maana kila siku anatakiwa ajifunze kanuni za imani yake ili aboreshwe na kuyapunguza hayo mapungufu yake kama si kuyamaliza kabisa.
 
Kwanza kwa fikra zako zilizokutuma kuleta huu uzi je wajua Mungu ni nini au ni nani? Ili tukujibu kutokana na uwezo wa akili yako tusije kukupoteza kabisa. Pili kutokana na bandiko lako hili inaonyesha wewe huamini kuwa kuna Mungu, sasa kitu usichokiamini cha kukera nini? Si uwaache wenye imani zao waamini wanacho kiamini?

Njia nzuri ya kufanya mtu abadili anacho kiamni ili afate unacho kiamini ni kukizungumza kile unacho kiamini na jinsi gani kilivyo kusaidia na faida yake kwako kisha mtu mwenyewe alinganishe kile anacho kiamini na kile ukiaminicho wewe kisha kwa dhamira yake achague kukifata au kutokifata kile uaminicho wewe.

Ukimwambia mtu ubaya wa kile anachokiamini ili aamini kile unacho amini, akija huko akakuta mapungufu katika hicho unacho amini utakuwa umempoteza kabisa.

Hakuna imani isiyo na mapungufu kwamaana sisi binadamu pia tunamapungufu, kama jinsi tunavyo fundisha namna ya kuishi na mapungufu yetu ndivyo tunavyo fundishwa kukabiliana na mapungufu katika imani zetu.

Si kosa kujifunza imani nyingine, lakini hii haitakiwi kwa wale walio dhaifu kiimani kwamaana badala ya kuwajenga inaweza kuwapotosha kabisa.
Kuna siku atamini mungu yupo na anaweza,siku inakuja atakubali tuu
 
Naamini mungu yupo kwa 100% na hakuna nguvu ishindayo nguvu ya mungu.
 
Kiundani kabisa,kila mtu ana picha tofauti ya kitu kinachoitwa Mungu.Hizi dini/imani ni mapokeo tu ya kizazi hadi kizazi.
 
Kuna mambo ya kufanyia mzaha lakini si Mungu. Naomba mwenye enzi Mungu akurehemu. Mungu si wa size yetu, yuko kwenye level nyingine, malumbano kuhusu Mungu yupo au hayupo sidhani kama ni sahii sana. Wote tutakufa alafu tutajua kama yupo au hayupo, usiwe na haraka.
Kuna mambo ya kufanyia mzaha lakini si Mungu. Naomba mwenye enzi Mungu akurehemu. Mungu si wa size yetu, yuko kwenye level nyingine, malumbano kuhusu Mungu yupo au hayupo sidhani kama ni sahii sana. Wote tutakufa alafu tutajua kama yupo au hayupo, usiwe na haraka.
Ila,jambo la kishangaza kabisa ni urahisi wetu wa kufanya mzaha na maisha ya mtu. Hapa ndipo dhana na ufahamu kuhusu Mungu unapotumiKa vibaya kuliko kawaida. Ndugu, tafakari na tumia vizuri hali ya kumjua Mungu.
 
Back
Top Bottom