Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Heshima kwako mkuu.
Ikiwa mna uhakika kuwa Mungu hayupo kiasi cha kuwa 'fact'- bila shaka mtakuwa na ushahidi Fulani. Waweza kutupa ushahidi hata mmoja tu kuthibitisha hilo? Isijekuwa unajiita tu jina bila kuwa na chochote cha kuhalalisha nafasi yako.
Ni kweli suala la Uwepo wa Mungu mimi silipingi kabisa nakubali kuwa Mungu yupo, Ila suala la Wanadamu wa sasa kumjua Mungu ndilo lina Utata, Sababu kila kikundi cha wath kinaamini lake.Nyie mnao amini uwepo wa Mungu, Wakristo na waislam, na madhehebu mengine Je kila mmoja wenu mnamaanisha Mungu Mmoja?
Yani unavyomfikiria wewe na mwezio ni hivyohivyo? Je unauhakika Kiongozi wako wa dini, Rafiki yako, na yeyote yule Jinsi anavyomuwaza huyu Mungu alivyo ndivyo unavyomuwaza wewe? Yani picha uliyojijengea kichwani mwako Jinsi alivyo, tabia zake ndivyo wenzio wanavyomuwaza hivyo? Kama mnatofautiana hatima yake nini?
Je huyu Mungu wenu alivyokusudia mumuwaze alivyo ndivyo ilivyo?
Je mpaka sasa unauhakika na dini yako ndio sahihi kumweleza huyo Mungu? Au tangu upokee kutoka kwa wazazi wako dini hiyo ndio umejidhihirisha wazi kwamba upo sahihi?
Je umejifunza dini nyingine kujihakikishia upo sahihi mpaka sasa kwamba Mungu anaikubali dini yako? na upo sahihi?
Je Ni biblia na quran ndio references kuthibitisha Mungu yupo, na jinsi alivyo?
Unajidhihirishaje kwamba vitabu hivyo si maandiko ya watu kwa utashi wao?
Je Maswali yangu hapo Unaweza kuyajibu????
ha ha ha! kwamba anawapima imani, Ina maana hajui wana imani kiasi gani alafu bado unaambiwa god is all knowing.Evidence ya kwanza ni the way mungu anavyojicontradict mwenyewe... Wakati anasema yeye ndiye mwenye nguvu kuliko wote anatokea shetani ambaye anaweza kupindisha maamuzi ya mungu..! (how comes?!)
Lakini pia yeye anasema anaroho nzur kuliko viumbe vyote wakati huo huo anaacha vichanga visivyo na hatia kupata madhara.. Najua utasema anataka kuwapima wazazi wa kichanga hicho imani zao, then tunakuja kujiuliza kama ana nguvu za kujua yaliyo moyoni mwetu basi hakuna ulazima wa kuleta majanga kwa mtoto yule kwani (kama ananguvu hizo) si angekuwa ameshajua imani za wazazi wale..?!
Kama kweli mungu yupo, angeshajitokeza ili kuondoa mauaji na maumivu wanayoyapata wanadamu kupitia mgongo wake...! Angetokea ili watu wajue ni mungu yupi wa ukweli..
Wahindi wa america walipata kumjua mungu wa kikristo mnamo karne za hivi karibuni, unataka kuniambia mababu zao waliokufa kabla ya kumjua kristo or Muhammad wataingia motoni kwakuwa ni makafiri or hawakubatizwa kwamaji??
Na mie nakuuliza swali. Kati ya miungu yote (mungu wa wakristo, waislamu, wayahudi, wahindu, nk.) yupi wa ukweli..?!Nipatie sababu, Usilete issue za kusema eti mungu ni mmoja..! Manaa hii kitu kwa kuangalia mifumo ya dini mbalimbali yaonyesha wazi kuwa haiwezekani.
Yaani kama yupo hana muda kabisa na binadamu basi tunajipendekezaga tu.Ni kweli suala la Uwepo wa Mungu mimi silipingi kabisa nakubali kuwa Mungu yupo, Ila suala la Wanadamu wa sasa kumjua Mungu ndilo lina Utata, Sababu kila kikundi cha wath kinaamini lake.
kwa nini Mungu anaruhusu uovu? Katika bustani ya Edeni, Shetani alisema Mungu ni mwongo, anayewanyima viumbe wake mambo mema. (Mwanzo 3:3-5) Hivyo, alitilia shaka haki ya Mungu Yehova ya kutawala. Adamu na Hawa walichagua kumfuata Shetani; kwa hiyo, hata wao walikataa utawala wa Yehova, na ni kana kwamba walidai kuwa mwanadamu anaweza kujiamulia mema na mabaya.Evidence ya kwanza ni the way mungu anavyojicontradict mwenyewe... Wakati anasema yeye ndiye mwenye nguvu kuliko wote anatokea shetani ambaye anaweza kupindisha maamuzi ya mungu..! (how comes?!)
Lakini pia yeye anasema anaroho nzur kuliko viumbe vyote wakati huo huo anaacha vichanga visivyo na hatia kupata madhara.. Najua utasema anataka kuwapima wazazi wa kichanga hicho imani zao, then tunakuja kujiuliza kama ana nguvu za kujua yaliyo moyoni mwetu basi hakuna ulazima wa kuleta majanga kwa mtoto yule kwani (kama ananguvu hizo) si angekuwa ameshajua imani za wazazi wale..?!
Kama kweli mungu yupo, angeshajitokeza ili kuondoa mauaji na maumivu wanayoyapata wanadamu kupitia mgongo wake...! Angetokea ili watu wajue ni mungu yupi wa ukweli..
Wahindi wa america walipata kumjua mungu wa kikristo mnamo karne za hivi karibuni, unataka kuniambia mababu zao waliokufa kabla ya kumjua kristo or Muhammad wataingia motoni kwakuwa ni makafiri or hawakubatizwa kwamaji??
Na mie nakuuliza swali. Kati ya miungu yote (mungu wa wakristo, waislamu, wayahudi, wahindu, nk.) yupi wa ukweli..?!Nipatie sababu, Usilete issue za kusema eti mungu ni mmoja..! Manaa hii kitu kwa kuangalia mifumo ya dini mbalimbali yaonyesha wazi kuwa haiwezekani.
Utachagua Upande wa Nani?Yaani kama yupo hana muda kabisa na binadamu basi tunajipendekezaga tu.
Sure man.....time will tell, and he will learn somethingKuna mambo ya kufanyia mzaha lakini si Mungu. Naomba mwenye enzi Mungu akurehemu. Mungu si wa size yetu, yuko kwenye level nyingine, malumbano kuhusu Mungu yupo au hayupo sidhani kama ni sahii sana. Wote tutakufa alafu tutajua kama yupo au hayupo, usiwe na haraka.
Watu wa design yenu huwa hamfi kwa ghafla lazima mpitie hatua/hali flan hv ili Mudhihirishe uwepo wa Mungu....kisha inakuwa fundisho kwa wengne.......Tukijua wakati tumeshakufa kuna faida gani sasa? hasa kwa walio hai
Kwani, kutokea kwa shetani ni mapenzi ya mungu or ni bahati mbaya tu..?kwa nini Mungu anaruhusu uovu? Katika bustani ya Edeni, Shetani alisema Mungu ni mwongo, anayewanyima viumbe wake mambo mema. (Mwanzo 3:3-5) Hivyo, alitilia shaka haki ya Mungu Yehova ya kutawala. Adamu na Hawa walichagua kumfuata Shetani; kwa hiyo, hata wao walikataa utawala wa Yehova, na ni kana kwamba walidai kuwa mwanadamu anaweza kujiamulia mema na mabaya.
Kupatana na haki na hekima yake kamilifu, Mungu alijua kuna njia moja tu ya kujibu dai hilo—kuruhusu wakati upite ili kuwapa wanadamu nafasi ya kujitawala kama walivyotaka. Uovu uliotokea umechangiwa kwa kadiri fulani na Shetani na umefunua hatua kwa hatua ukweli huu muhimu: Mwanadamu hana uwezo wa kujitawala mwenyewe. Yeremia 10:23.
( Kwa Nini Ni Muhimu Kujua Yaliyotukia Edeni? — Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO )
Hahahahaha usimsingizie shetani bana...! Ukipitia bible vzuri utaona Mungu amesababisha vifo vya watu wengi sana...! Watu wengine hawakuwa na hata kosa (rejea watoto wa familia za wamisri kipindi kwenye exodus).Utachagua Upande wa Nani?
Shetani amesababisha madhara makubwa sana duniani hasa katika karne ya 20. Hali zilizoko duniani hazionyeshi kwamba Shetani ameshinda bali zinaonyesha kwamba tunaishi katika siku za mwisho za ulimwengu huu mwovu. (Mathayo 24:3-14;Ufunuo 6:1-8) Mshindi haamuliwi na kuongezeka kwa uovu duniani wala na maoni ya wengi. Mambo yanayoamua ni kama vile ni utawala wa nani unafaa na kama kuna mtu yeyote anayemtumikia Mungu kwa kuchochewa na upendo. Mambo hayo mawili yameonyesha kwamba Yehova ndiye mshindi.
Ikiwa muda ambao Yehova ameruhusu Shetani awepo tayari umethibitisha kwamba Shetani ndiye mwenye kosa, kwa nini Mungu anaruhusu uovu uendelee? Yehova anaonyesha subira “kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.” (2 Petro 3:9) Mapenzi ya Mungu “ni kwamba watu wa namna zote waokolewe na kuja kwenye ujuzi sahihi wa kweli.” (1 Timotheo 2:4) Tumia wakati uliobaki kujifunza Biblia na ‘kutwaa ujuzi juu ya Mungu wa pekee wa kweli, na juu ya yule aliyemtuma, Yesu Kristo.’ (Yohana 17:3)
Hahahaha we jamaa bana.. Labda uelezee hiyo style. Kama ni ajali wanakufa watu kila siku. Kama ni ugonjwa wanapata mpaka watoto wachanga wasio na kosa asilani..!Watu wa design yenu huwa hamfi kwa ghafla lazima mpitie hatua/hali flan hv ili Mudhihirishe uwepo wa Mungu....kisha inakuwa fundisho kwa wengne.......
Itakua vizuri zaidi ili niwashawishi na wengine kwamba yupo, kitu ambacho sio rahisi kutokea.Watu wa design yenu huwa hamfi kwa ghafla lazima mpitie hatua/hali flan hv ili Mudhihirishe uwepo wa Mungu....kisha inakuwa fundisho kwa wengne.......
Hilo ni jina tu.. Ukienda south africa watu weusi wanaitwa kafir kama...Huyuu ni zaidi ya Kafiri...
Nyongeza, mungu hakuua watu tu hata mifugo jamani, halafu bado watu wanamuona ni mungu mzuri!!. Anyway hayupo hata hivo kama yupo basi hana muda na binadamu kabisa.Hahahahaha usimsingizie shetani bana...! Ukipitia bible vzuri utaona Mungu amesababisha vifo vya watu wengi sana...! Watu wengine hawakuwa na hata kosa (rejea watoto wa familia za wamisri kipindi kwenye exodus).
Yaani ndani ya bible matendo ya mungu huwezi kutofautisha na sifa mnazompa shetani..! Wakati huo huo watu aliyowaua shetani ndani ya bible hawafiki wawili..!
Sasa unajiuliza, Mbona kama mungu ndio shetani..?!
Kumbe! sikujua hilo.Hilo ni jina tu.. Ukienda south africa watu weusi wanaitwa kafir kama...