MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #21
Jomba 10km za kiuhalisia bila magumashi sio mchezo.Mzee njoo twende km 10 mwanzo mwisho ...kama huwezi kimbia km 10+wewe ni zuchu tu
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Mkuu toa location tuje tutoane upepo .Jomba 10km za kiuhalisia bila magumashi sio mchezo.
Mkuu siko nchini halafu pia kwa sasa bado hali dhoofu mno. Kwa dakika 15 nimekimbia 2.25km tu. Hii ni hali mbaya sana. Lakini leo nimeona maendeleo kidogo kwasababi jana nilikimbia 2.19km kwa dakika 15. Nimejiwekea malengo ya kufikisha 3km kwa dakika 15 kisha nistaafu kwa heshima barabarani na kuhamia Gym.
Kweli wewe ni MUCH KNOW 🤣🤣Mimi mazoezi yangu nayafanyia kitandani kwa mke wangu
Huyo sommo hung ni nani? Unamfwatilia kwa mtandao gani? Nami ni mdau wa mazoezi hasa kukimbia mkuuKulimbia ni swala jingine na kupungua kwasababu umekimbia ni jambo jingine.
Kuna level ya mwili ukifikia haupungui.
Yani kwenye ile minyama uzembe ukifanya zoezi itajikaza tu lakini usifikirie kuwa utakuwa slim.
By the way Sammo Hung namfuatilia sana
Wivu wa maendeleoDaaah! Watu mnawivu aisee!
Sammo Hung ni mchina mcheza filamu za mapiganoHuyo sommo hung ni nani? Unamfwatilia kwa mtandao gani? Nami ni mdau wa mazoezi hasa kukimbia mkuu
😳Jomoni yaani tangu kipindi bado hujasogea hata kufikasha km4😂 ? kwahiyo bado unaishia nusu km halafu roho inataka kukutoka.....Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.
Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.
Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.
Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!
Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na kukatishana tamaa.
Mkuu utu uzima ndiyo umri gani?Oyaa mi nakamua 4km, zamani ilikua dry mwanzo mwisho. Ila sasa utu uzima ushanijia nafanya run and walk ya hizohizo 4km. Yaani nakimbia nikiona roho inataka kuchomoka nawalk nikirecover na run tena.
Mazoezi sio vita fanya pumzi yako inapoishia. Usijedondoka barabarani buree.
Mimi ninaumia kuona nikienda 2km tu moyo unataka ku-burst halafu kibonge kakata 15km
Ukitaka mimama,huku ndo kwenyeweJogging ni kiwanda cha uasherati Tanzania