mtelezo
Member
- Jan 31, 2015
- 62
- 27
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi bado mpo watu wa kusema hvo mi ni nani?
Nkishakujua itakuaje
Mkitukanwa mnalia vijana wa siku hizi hawana adabu kumbe wew ndo umeanza kuleta upumbavu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi bado mpo watu wa kusema hvo mi ni nani?
Nkishakujua itakuaje
Mkitukanwa mnalia vijana wa siku hizi hawana adabu kumbe wew ndo umeanza kuleta upumbavu wako
Ni wivu tuSasa tatizo hapo liko wapi mkuu?
🤣🤣🤣🤭Ni wivu tu
Uzito haupungui kwa kufanya mazoezi.Uzito unapungua kwa kupunguza sana wanga na idadi ya milo kwa siku.Kula angalau mara moja kwa siku( 24Hrs) mlo sahihi.Ukiweza kula milo mitano kwa wiki.Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.
Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.
Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.
Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!
Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
Umejuaje kama ni mzee na ana wajukuuTulia na uzee wako nyumbani na wajukuu.
Kama Vipi.
Mathread yake huyaoniUmejuaje kama ni mzee na ana wajukuu
Hilo la vyakula inatakiwa wenye maisha mazuri. Sisi wengine tunakula kuzuia tu misiba. Ni watanzania wachache sana wanaoweza kuachana na wanga.Uzito haupungui kwa kufanya mazoezi.Uzito unapungua kwa kupunguza sana wanga na idadi ya milo kwa siku.Kula angalau mara moja kwa siku( 24Hrs) mlo sahihi.Ukiweza kula milo mitano kwa wiki.
Achana na soda,juice na pombe.
Kula matunda yasiyo na sukari nyingi kwa kiasi sana.
Ukiweza achana na wanga kama vile ugali,wali,chapati na ndugu zake,mihogo na viazi vyote.Kula mboga za majani na protini.
Ukishindwa kufanya hivyo hutaweza kupungua.
Njia iliyobaki shika jembe ukalime - hapa lazima upungue.Hili zoezi la jembe ndilo aerobic ya ukweli kuliko zote
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa CCM.Tulia na uzee wako nyumbani na wajukuu.
Kama Vipi.
Hapo kwenye CCM hapo tupaache hivo hivo tujikite kwenye mada tuMimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa CCM.
Lakini hata wazee kufanya mazoezi ya mwili ni muhimu pia.Mathread yake huyaoni
Sasa huyu unamuonaje?Lakini hata wazee kufanya mazoezi ya mwili ni muhimu pia.
Looh jf kiboko 🤣🤣🤣🤣Sasa tatizo hapo liko wapi mkuu?
Relax boss...Sasa huyu unamuonaje?
13Km mtu wa miaka 38 analia lia .
Afu ni Mjinga sana anachanganya mambo mara mazoezia sijui unajua mi ni nani mara ohhh Sijui chawa wa chama pumbafu kabisa .
ExactlyJogging ni kiwanda cha uasherati Tanzania
Duniani kuna vituko aisee, mi nimekaa sebleni kwangu najipostia vitu kumbe kuna mtu anataka kujinyonga na post yangu🤣🤣🤣🤣🤣😩Jaman
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.
Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.
Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.
Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!
Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
Ni kweli mkuu. Mimi sasa hivi nimefikia uwezo wa 2.25km kwa 15 minutes leo jioni nikienda tena nataka niende zaidi ya hapo.Huwezi kuanza na kukimbia 10+km Siku ya kwanza. Tunaanza taratibu hadi kufikia hizo km, mimi saivi nakimbia 7km ila lengo ni kufikia 15 km. Nataka niwe nakimbia km 60 kwa wiki hivyo nikifikia 15km kwa siku nitakua nakimbia siku nne tu kwa wiki.
Kingine consistency wakimbiaji wengine ni wa mchongo anakimbia siku tatu anapumzika miezi miwili sasa hizo km 10+ utaendelea kuzisikia tu na wala hutapungua.