Mnaofanya mazoezi ya kukimbia kuna mambo mnadanganya

Mnaofanya mazoezi ya kukimbia kuna mambo mnadanganya

Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.

Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.

Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.

Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!

Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
Uzito haupungui kwa kufanya mazoezi.Uzito unapungua kwa kupunguza sana wanga na idadi ya milo kwa siku.Kula angalau mara moja kwa siku( 24Hrs) mlo sahihi.Ukiweza kula milo mitano kwa wiki.
Achana na soda,juice na pombe.
Kula matunda yasiyo na sukari nyingi kwa kiasi sana.
Ukiweza achana na wanga kama vile ugali,wali,chapati na ndugu zake,mihogo na viazi vyote.Kula mboga za majani na protini.
Ukishindwa kufanya hivyo hutaweza kupungua.
Njia iliyobaki shika jembe ukalime - hapa lazima upungue.Hili zoezi la jembe ndilo aerobic ya ukweli kuliko zote
 
Uzito haupungui kwa kufanya mazoezi.Uzito unapungua kwa kupunguza sana wanga na idadi ya milo kwa siku.Kula angalau mara moja kwa siku( 24Hrs) mlo sahihi.Ukiweza kula milo mitano kwa wiki.
Achana na soda,juice na pombe.
Kula matunda yasiyo na sukari nyingi kwa kiasi sana.
Ukiweza achana na wanga kama vile ugali,wali,chapati na ndugu zake,mihogo na viazi vyote.Kula mboga za majani na protini.
Ukishindwa kufanya hivyo hutaweza kupungua.
Njia iliyobaki shika jembe ukalime - hapa lazima upungue.Hili zoezi la jembe ndilo aerobic ya ukweli kuliko zote
Hilo la vyakula inatakiwa wenye maisha mazuri. Sisi wengine tunakula kuzuia tu misiba. Ni watanzania wachache sana wanaoweza kuachana na wanga.
 
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.

Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.

Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.

Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!

Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.

Ukitaka kupungua inabidi ujinyime kula.
 
Huwezi kuanza na kukimbia 10+km Siku ya kwanza. Tunaanza taratibu hadi kufikia hizo km, mimi saivi nakimbia 7km ila lengo ni kufikia 15 km. Nataka niwe nakimbia km 60 kwa wiki hivyo nikifikia 15km kwa siku nitakua nakimbia siku nne tu kwa wiki.
Kingine consistency wakimbiaji wengine ni wa mchongo anakimbia siku tatu anapumzika miezi miwili sasa hizo km 10+ utaendelea kuzisikia tu na wala hutapungua.
 
Huwezi kuanza na kukimbia 10+km Siku ya kwanza. Tunaanza taratibu hadi kufikia hizo km, mimi saivi nakimbia 7km ila lengo ni kufikia 15 km. Nataka niwe nakimbia km 60 kwa wiki hivyo nikifikia 15km kwa siku nitakua nakimbia siku nne tu kwa wiki.
Kingine consistency wakimbiaji wengine ni wa mchongo anakimbia siku tatu anapumzika miezi miwili sasa hizo km 10+ utaendelea kuzisikia tu na wala hutapungua.
Ni kweli mkuu. Mimi sasa hivi nimefikia uwezo wa 2.25km kwa 15 minutes leo jioni nikienda tena nataka niende zaidi ya hapo.
 
HUWEZI kufika Darasa la Saba kama hujaanza Darasa la kwanza.

Ili Ufike Darasa la Saba Lazima upite Darasa Moja Baada ya jingile.
Uhesabu 1,2,3,4,5,6,7..... Nk
HUWEZI ukaanza 100
Bila kuanza na Moja

Darasa la kwanza.
Darasa la Pili.
Dara sa la Tatu.
Darasa la Nne.
Tano, SITA, Saba
Form one
Two , three na four.

Form five six Hadi chuo.

Anza KUKIMBIA MITA 10
Then 20.
Halafu 30.

Baadaye kilomita 1,2,3. ....... Hadi 50
HUWEZI ukafika miaka mia bila kuwa na Miaka 1,2,3,4,5
Hakuna kuruka stage.
 
Back
Top Bottom