MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Chama la wanaUkitaka mimama,huku ndo kwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama la wanaUkitaka mimama,huku ndo kwenyewe
Yaani unaangalia wale ambao wana makalio makubwa,vitambi kiasi,na K zilizotuna,aaah! full kujifanya unawapa sapoti,kwanza kuangalia K zilivyotuna,ni burudani tosha.... daaah! aliyebuni marathon,mjanja sanaChama la wana
Kwa age anzia 40 kutembea ni zoezi tosha kwa uzoefu wangu 7 km is enough ambazo ni hatua 10000, ama 8km ambazo ni hatua 12000 naa hizi unazikata kwa lisaa1 hivo unatak8wa kutembea kwa speed na iwe kila siku. Unaweza kutembea 4 km a subuhii na 4 jioniKuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia...
Kutembea naona kama sio zoezi. Ni uvivu.Kwa age anzia 40 kutembea ni zoezi tosha kwa uzoefu wangu 7 km is enough ambazo ni hatua 10000, ama 8km ambazo ni hatua 12000 naa hizi unazikata kwa lisaa1 hivo unatak8wa kutembea kwa speed na iwe kila siku. Unaweza kutembea 4 km a subuhii na 4 jioni
Mazoezi mazuri sio kukimbia tembea mkuu uone tofauti na baada ya mazoezi usifakamie misosi.Mimi ninaumia kuona nikienda 2km tu moyo unataka ku-burst halafu kibonge kakata 15km
Mkuu mazoezi ya kutembea hukusaidia kuto kuutanua moyo tofauti na mabio mengi bila usahihi wa stepsKutembea naona kama sio zoezi. Ni uvivu. Miaka 40 bado unaweza kukimbia ila kasi ndo inapungua. Hata wanariadha wa umri huo hushiriki mbio ndefu za half marathon na Marathon ambazo hazihitaji spidi kali.
Wewe binafsi unaathirika vipi na huo 'uongo' wao Mkuu?
13km sio mchezo. Ni zaidi ya posta - ubungo13km nao ni umbali au wee Mleta mada ni mzee sana?
Tulia na uzee wako nyumbani na wajukuu.13km sio mchezo. Ni zaidi ya posta - ubungo
Unanijua mimi ni nani?Tulia na uzee wako nyumbani na wajukuu.
Kama Vipi.
Wenzio wana pumzi mkuu!Mimi ninaumia kuona nikienda 2km tu moyo unataka ku-burst halafu kibonge kakata 15km
Km 13 ni average distance ya mchezaji mpira katika 90 uwanjani, tena hapo nazungumzia wale top players hasa wa ulaya kama Rodri au Gundogan wanaozunguka uwanja mda wote. Sasa huyo kibonge anafikisha vipi hizo kilomita kama si uwongo.Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.
Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.
Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.
Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!
Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi ninaumia kuona nikienda 2km tu moyo unataka ku-burst halafu kibonge kakata 15km
Hivi bado mpo watu wa kusema hvo mi ni nani?Unanijua mimi ni nani?