Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Na kwa Nini ukope na hapo una gesi asilia madini,bahari Kama sio UZUZU huo
Ww kwa akili yako unahisi ivyo vyote vinaweza kuendesha nchi iwatengenezee miundombinu ilipe mishahara na hapohapo iwapunguzie gharama za maisha na kulipa Kodi mataki muwe mnafikilia kabla ya kusema
 
Huo ndio Ukweli mchungu kuumeza,lakini usiokwepeka.

Sio ujasiri wala ushujaa kwa viongozi kutembea mkifurahia mikopo na kujipiga kifua mbele ya wananchi majukwaani,kama vile ni jambo la kheri na kishujaa kukopa kopa bila Dira ya kitaifa.

Mnapaswa pia kutoa elimu kwa wananchi, juu ya madhara ya mikopo hiyo kwa uchumi wa nchi.
Ili wananchi waweze kujiandaa kisaikolojia huko mbeleni.

Kwa sababu nyinyi viongozi mnakwenda kukopa huko,lakini walipaji wakuu ni wananchi na vizazi vyao.

Kwa nchi iliyojaaliwa raslimali kama hii ya Tanzania.

Hatukupaswa na hatustahili kushinda mguu na njia kwenda kutembeza mabakuli huko Duniani,sambamba na nchi maskini wa kweli ambazo zipo Africa na kwingineko.

Wakati huo tukiziacha mali zetu zikichotwa kwa mkono mwingine na hao hao wakopeshaji,kwa msaada wa baadhi ya wenzetu wachache kwa manufaa binafsi.

Kwani mifano hai ya mikopo hiyo na madhara yake kwa ushamiri wa taifa tunao.

Mfano wa karibuni kabisa ni huu unaoendelea huko Sri Lanka [emoji1224].

Walikopa hadi wakanyanganywa Bandari yao kuu.

Na sasa wanaelekea kupoteza uhuru wao kama taifa.

Ni baada ya hao hao IMF watalapoitangaza Sri Lanka kama nchi iliyofilisika.

Bado mfano mwingine wa madhara ya mikopo uko Lebanon [emoji1146].

Kwa hiyo CCM wakati mkisifia ukopaji muelewe jinsi mnavyoelekea kulitumbukiza taifa hili tajiri la raslimali,mikononi mwa wakopeshaji.
Kipindi JPM anakopa tulitoa mawazo kama haya ila tukaambulka matusi kwamba pesa inayokopwa inajenga reli na miundombinu hivyo tuache kuangalia mkopo ila tuangalie faida za huo mkopo kwenye uchumi!!

Cha kushangaza watu wale wale ndio Leo hii mnatambua mikopo sio mizuri?

CCM mpishe tu maana mmejaa unafiki tu
 
Kipindi JPM anakopa tulitoa mawazo kama haya ila tukaambulka matusi kwamba pesa inayokopwa inajenga reli na miundombinu hivyo tuache kuangalia mkopo ila tuangalie faida za huo mkopo kwenye uchumi!!

Cha kushangaza watu wale wale ndio Leo hii mnatambua mikopo sio mizuri?

CCM mpishe tu maana mmejaa unafiki tu
Wengi wao wanaongea kwa kufwata mikumbo
 
Ww kwa akili yako unahisi ivyo vyote vinaweza kuendesha nchi iwatengenezee miundombinu ilipe mishahara na hapohapo iwapunguzie gharama za maisha na kulipa Kodi mataki muwe mnafikilia kabla ya kusema
Kwa Nini nchi ya Libya haikuwa na mikopo
 
Aya kwaio kwa akili yako mbovu unataka kusema hawamu hi imepitiliza kiwango Cha mikopo si ndivyo?
Akili yangu mbovu inaniambia kwamba.......

Serikali ya CCM imekosa ubunifu wa jinsi ya kutumia na kunufaika na raslimali za nchi hii kwa maendeleo na ustawi chanya wa Taifa.
Bila kuwategemea wakopeshaji kwa asilimia sabini.(70%).

Unakwenda kukopa kila siku kisha kuja kuwagawia wananchi....

Utaendelea hivyo mpaka lini??
 
Huo ni mujibu wa uelewa wako.
Huwezi kuishi kwa kutegemea historia.

Kumbuka kadri muda unavyokwenda na kadri kasi ya ukopaji inavyoongezeka.
Ndivyo tunausogelea ule mstari mwekundu.

Kuna kiwango maalumu ambacho tukifikia hata kesho tu.
Tayari tutakuwa tumepoteza imani kwa wakopehaji.

Ndipo hapo tutakapoanza kutakiwa kukopa kwa dhamana.

Wewe hilo hulielewi labda.
Kwani tukikopa hatulipi? Mwaka huu pekee tunakopa Til.8 na kulipa Til.10..Aliyekwambia Nchi inakopa bila mpango ni nani?

Na kwa taarifa yako ,madeni mengi yanayolipwa sasa yalikopwa toka enzi za Mwalimu na awamu zilizopita kutegemeana na muda wa kila deni.
 
Akili yangu mbovu inaniambia kwamba.......

Serikali ya CCM imekosa ubunifu wa jinsi ya kutumia na kunufaika na raslimali za nchi hii kwa maendeleo na ustawi chanya wa Taifa.
Bila kuwategemea wakopeshaji kwa asilimia sabini.(70%).

Unakwenda kukopa kila siku kisha kuja kuwagawia wananchi....

Utaendelea hivyo mpaka lini??
Ww tatizo lako umeshindwa kufikilia zaidi umebakia kwenye majungu af mtoto wakiume ushupalia mwenyew
 
Ww kwa akili yako unahisi ivyo vyote vinaweza kuendesha nchi iwatengenezee miundombinu ilipe mishahara na hapohapo iwapunguzie gharama za maisha na kulipa Kodi mataki muwe mnafikilia kabla ya kusema
Unapokwenda kukopa uwe na dira ya kuja kuutumia ule mkopo kwa miradi ambayo baadae itakuwezesha kujikwamua kwenye kukopa na sio kukopa na kuja kujengea shule au matundu ya vyoo.

Wakati hata huduma kwa hao walimu hazijitoshezi.

Wakati hakuna ubunifu wa ajira mpya ili kuendana na kiwango cha uzalishaji wasomi kila mwaka nchini.

Vema kukopa kwa miradi mikubwa ya kimkakati kama vile kilimo kikubwa cha kisasa na hivyo kupanua ajira za wananchi na kipato cha kitaifa.

Vema kukopa na kuwekeza kwenye miundombinu mikubwa ya uvuvi wa kimkakati katika bahari kuu na hivyo kuliwezesha taifa kiuchumi.

Kuna mambo meengi kuliko.

Na sio kinachoendelea kwa sasa.eti unakwenda kukopa halafu na wewe unakuja kukopesha kina mama wajasiliamali.
Mikopo ambayo haina historia ya urejeshwaji zaidi ya kugeuka hongo za kiuchaguzi.
 
Kwani tukikopa hatulipi? Mwaka huu pekee tunakopa Til.8 na kulipa Til.10..Aliyekwambia Nchi inakopa bila mpango ni nani?

Na kwa taarifa yako ,madeni mengi yanayolipwa sasa yalikopwa toka enzi za Mwalimu na awamu zilizopita kutegemeana na muda wa kila deni.
Hizo takwimu ni zako na Mwigulu Nchemba lakini sio za kiuhalisia.
Vema hii ukawaambia wenzio kwenye mikutano ya Shaka!
 
Huo ndio Ukweli mchungu kuumeza,lakini usiokwepeka.

Sio ujasiri wala ushujaa kwa viongozi kutembea mkifurahia mikopo na kujipiga kifua mbele ya wananchi majukwaani,kama vile ni jambo la kheri na kishujaa kukopa kopa bila Dira ya kitaifa.

Mnapaswa pia kutoa elimu kwa wananchi, juu ya madhara ya mikopo hiyo kwa uchumi wa nchi.
Ili wananchi waweze kujiandaa kisaikolojia huko mbeleni.

Kwa sababu nyinyi viongozi mnakwenda kukopa huko,lakini walipaji wakuu ni wananchi na vizazi vyao.

Kwa nchi iliyojaaliwa raslimali kama hii ya Tanzania.

Hatukupaswa na hatustahili kushinda mguu na njia kwenda kutembeza mabakuli huko Duniani,sambamba na nchi maskini wa kweli ambazo zipo Africa na kwingineko.

Wakati huo tukiziacha mali zetu zikichotwa kwa mkono mwingine na hao hao wakopeshaji,kwa msaada wa baadhi ya wenzetu wachache kwa manufaa binafsi.

Kwani mifano hai ya mikopo hiyo na madhara yake kwa ushamiri wa taifa tunao.

Mfano wa karibuni kabisa ni huu unaoendelea huko Sri Lanka [emoji1224].

Walikopa hadi wakanyanganywa Bandari yao kuu.

Na sasa wanaelekea kupoteza uhuru wao kama taifa.

Ni baada ya hao hao IMF watalapoitangaza Sri Lanka kama nchi iliyofilisika.

Bado mfano mwingine wa madhara ya mikopo uko Lebanon [emoji1146].

Kwa hiyo CCM wakati mkisifia ukopaji muelewe jinsi mnavyoelekea kulitumbukiza taifa hili tajiri la raslimali,mikononi mwa wakopeshaji.
kuilaumu CCM hakukusaidii
Ukirusha jiwe gizani ukasikia ukunga ujue tayari limetua kunako😊
 
Na hakuna nchi ambayo haikopi ndio maana ya kuwa na benk ya dunia ww uwezi kwenda kukoa kule ila serikali inaweza kwenda kukopa
Hatukatai mikopo bali tunakataa kasi ya ukopaji na matumizi ya mikopo husika.
 
Ww tatizo lako umeshindwa kufikilia zaidi umebakia kwenye majungu af mtoto wakiume ushupalia mwenyew
Kweli nimeshindwa "kufikilia" na nimeamua "kufikiri"

Wewe endelea kufikilia tu.
 
Unapokwenda kukopa uwe na dira ya kuja kuutumia ule mkopo kwa miradi ambayo baadae itakuwezesha kujikwamua kwenye kukopa na sio kukopa na kuja kujengea shule au matundu ya vyoo.

Wakati hata huduma kwa hao walimu hazijitoshezi.

Wakati hakuna ubunifu wa ajira mpya ili kuendana na kiwango cha uzalishaji wasomi kila mwaka nchini.

Vema kukopa kwa miradi mikubwa ya kimkakati kama vile kilimo kikubwa cha kisasa na hivyo kupanua ajira za wananchi na kipato cha kitaifa.

Vema kukopa na kuwekeza kwenye miundombinu mikubwa ya uvuvi wa kimkakati katika bahari kuu na hivyo kuliwezesha taifa kiuchumi.

Kuna mambo meengi kuliko.

Na sio kinachoendelea kwa sasa.eti unakwenda kukopa halafu na wewe unakuja kukopesha kina mama wajasiliamali.
Mikopo ambayo haina historia ya urejeshwaji zaidi ya kugeuka hongo za kiuchaguzi.
Kwaio ww unaona kujenga vyoo mashuleni ni Jambo la kijinga kwaio watoto waendele kupata magonjwa sio
 
Huo ndio Ukweli mchungu kuumeza,lakini usiokwepeka.

Sio ujasiri wala ushujaa kwa viongozi kutembea mkifurahia mikopo na kujipiga kifua mbele ya wananchi majukwaani,kama vile ni jambo la kheri na kishujaa kukopa kopa bila Dira ya kitaifa.

Mnapaswa pia kutoa elimu kwa wananchi, juu ya madhara ya mikopo hiyo kwa uchumi wa nchi.
Ili wananchi waweze kujiandaa kisaikolojia huko mbeleni.

Kwa sababu nyinyi viongozi mnakwenda kukopa huko,lakini walipaji wakuu ni wananchi na vizazi vyao.

Kwa nchi iliyojaaliwa raslimali kama hii ya Tanzania.

Hatukupaswa na hatustahili kushinda mguu na njia kwenda kutembeza mabakuli huko Duniani,sambamba na nchi maskini wa kweli ambazo zipo Africa na kwingineko.

Wakati huo tukiziacha mali zetu zikichotwa kwa mkono mwingine na hao hao wakopeshaji,kwa msaada wa baadhi ya wenzetu wachache kwa manufaa binafsi.

Kwani mifano hai ya mikopo hiyo na madhara yake kwa ushamiri wa taifa tunao.

Mfano wa karibuni kabisa ni huu unaoendelea huko Sri Lanka [emoji1224].

Walikopa hadi wakanyanganywa Bandari yao kuu.

Na sasa wanaelekea kupoteza uhuru wao kama taifa.

Ni baada ya hao hao IMF watalapoitangaza Sri Lanka kama nchi iliyofilisika.

Bado mfano mwingine wa madhara ya mikopo uko Lebanon [emoji1146].

Kwa hiyo CCM wakati mkisifia ukopaji muelewe jinsi mnavyoelekea kulitumbukiza taifa hili tajiri la raslimali,mikononi mwa wakopeshaji.

Magufuli alijaza wabunge wa CCM huko bungeni kwa kisingizio kuwa ni wazalendo,na hawazuii maendeleo. Waambie wakazue kukopa.
 
Kwaio ww unaona kujenga vyoo mashuleni ni Jambo la kijinga kwaio watoto waendele kupata magonjwa sio
Kwa hiyo nchi kama nchi unaona fahari kuwa na bango la shukurani ya msaada wa kujengewa choo shuleni na kwingineko katika Jamii?
 
Back
Top Bottom