Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Kwa hiyo nchi kama nchi unaona fahari kuwa na bango la shukurani ya msaada wa kujengewa choo shuleni na kwingineko katika Jamii?
Aya nenda ww katujengee vyoo uko mashuleni na ww pia tutakutangaza Kama USAID
 
Magufuli alijaza wabunge wa CCM huko bungeni kwa kisingizio kuwa ni wazalendo,na hawazuii maendeleo. Waambie wakazue kukopa.
Kilichojaa CCM sio "vipaji" bali "Unafiki"

Vipaji na uzalendo umeminywa na kundi la watwana ndani ya chama.

Imekaa mtindo wa "Gusa Uumie"

Wewe Tindo sio mgeni na unaelewa vizuri sana.
 
Debt to gdp ratio bado ndogo, mikopo iendelee. Ishu ni itumike vizuri tuu, sio white elephant projects na ufisadi.
 
hii mikopo imezidi.
tunajisifia kukopa aibu sana!

iwapo wakiitumia mikopo hii kimkakati kujenga miundombinu ya reli (SGR) na kununua vichwa vipya vya treni na kumaliza Bwawa la umeme la Nyerere ni sawa ila wakiifisadi tu bongo itakuwa next SrI Lanka! hilo liko wazi kabisa wala haihitaji digrii kuliona!

Wabongo nao wanasubiri kwenda Magogoni kuogelea na kubanika tausi!

Mama anapaswa kufuatilia binafsi matumizi ya hii mikopo kwa kwenda field kuona kwa macho matumizi yake na sio kusubiri kuletewa ripoti mezani na Singida Big Stars aka Yanga B guy (Magulu)

Nina hakika Bimkubwa anajua wabongo tuna digrii za wizi na ufisadi!

Nina hakika Bimkubwa anajua kupitia ripoti za CAG kuwa watumishi wengi wa serikali yake hawana aibu wala huruma na pesa ya serikali, Bimkubwa akiwachekea watamuangusha na kumkana siku wazungu wakifuata pesa zao!! Asisejesema hatukumwambia!!

Kukopa siku zote ni sherehe kubwa ya harusi ila kulipa ni matanga na unyonge!!
 
Kilichojaa CCM sio "vipaji" bali "Unafiki"

Vipaji na uzalendo umeminywa na kundi la watwana ndani ya chama.

Imekaa mtindo wa "Gusa Uumie"

Wewe Tindo sio mgeni na unaelewa vizuri sana.
Af uache kutisha watu tunaweza kwenda kukushtaki kuwa unatukosesha amani unatutisha na Vita tukakupoteza
 
hii mikopo imezidi.
tunajisifia kukopa aibu sana!

iwapo wakiitumia mikopo hii kimkakati kujenga miundombinu ya reli na umeme ni sawa ila wakiifisadi bongo itakuwa next SrI Lanka! hilo liko wazi kabisa haihitaji digrii kuliona!
Tatizo hapa ni kwamba watu hawataki kuambiwa ukweli siku zote.
Ukiusema ukweli, wewe unaonekana umetumika na kundi fulani.

Yaani viongozi na wanasiasa wa nchi hii na Africa kwa ujumla,wao hujiona kama wamepewa haki miliki ya akili za wananchi wao.

Kwamba hawawezi kufikiria mambo yanayowahusu wao kama wao.
 
Nadhani kuna nia ovu c bure yan huyu mama daily anakopa mpk atoke tutakiona cha mtema kuni!
 
mwachiluwi !
Hayo ni mawazo mfu na mgando.
mmeisha poteza watu wangapi na mtaendelea kupoteza watu mpaka lini?

Mbona bado jamii haikai kimya?
Ww unapotosha Jamii
Mfano Kama serikali ingekuwa inatoa gharama zinatotakiwa mtu kulipa katika vituo vya afya unafikili Nan angeweza kumudu

Muwe na shukran mama anaupiga mwingi ajira ni social problem at China jobless wapo na hata China inakopa pia
 
Ww unapotosha Jamii
Mfano Kama serikali ingekuwa inatoa gharama zinatotakiwa mtu kulipa katika vituo vya afya unafikili Nan angeweza kumudu

Muwe na shukran mama anaupiga mwingi ajira ni social problem at China jobless wapo na hata China inakopa pia
Kwani nini maana ya mwananchi kulipa kodi?

Je!
Bei za madawa ya binadamu,huko hospitali za serikali na maduka binafsi zinatofautiana?

Halafu kuna huduma gani kwa sasa inapatikana bure katika hospitali za Umma?

Tofauti ni majina tu pamoja na ubora wa huduma kati ya Private na Public hospitals.

Virginevyo kote ni malipo kwanza ndio upate huduma.
 
Kwani nini maana ya mwananchi kulipa kodi?

Je!
Bei za madawa ya binadamu,huko hospitali za serikali na maduka binafsi zinatofautiana?

Halafu kuna huduma gani kwa sasa inapatikana bure katika hospitali za Umma?

Tofauti ni majina tu pamoja na ubora wa huduma kati ya Private na Public hospitals.

Virginevyo kote ni malipo kwanza ndio upate huduma.
Nachoongea unielewi lala ukue
 
Unapokwenda kukopa uwe na dira ya kuja kuutumia ule mkopo kwa miradi ambayo baadae itakuwezesha kujikwamua kwenye kukopa na sio kukopa na kuja kujengea shule au matundu ya vyoo.

Wakati hata huduma kwa hao walimu hazijitoshezi.

Wakati hakuna ubunifu wa ajira mpya ili kuendana na kiwango cha uzalishaji wasomi kila mwaka nchini.

Vema kukopa kwa miradi mikubwa ya kimkakati kama vile kilimo kikubwa cha kisasa na hivyo kupanua ajira za wananchi na kipato cha kitaifa.

Vema kukopa na kuwekeza kwenye miundombinu mikubwa ya uvuvi wa kimkakati katika bahari kuu na hivyo kuliwezesha taifa kiuchumi.

Kuna mambo meengi kuliko.

Na sio kinachoendelea kwa sasa.eti unakwenda kukopa halafu na wewe unakuja kukopesha kina mama wajasiliamali.
Mikopo ambayo haina historia ya urejeshwaji zaidi ya kugeuka hongo za kiuchaguzi.
Sure tunakopa kujenga madarasa na matundu ya VYOO kweli tupo serious kma taifa ccm ni janga
 
Ww kwa akili yako unahisi ivyo vyote vinaweza kuendesha nchi iwatengenezee miundombinu ilipe mishahara na hapohapo iwapunguzie gharama za
maisha na kulipa Kodi mataki muwe mnafikilia kabla ya kusema

Unakopa Sana na kutoza Sana.
 
Kwani tukikopa hatulipi? Mwaka huu pekee tunakopa Til.8 na kulipa Til.10..Aliyekwambia Nchi inakopa bila mpango ni nani?

Na kwa taarifa yako ,madeni mengi yanayolipwa sasa yalikopwa toka enzi za Mwalimu na awamu zilizopita kutegemeana na muda wa kila deni.

Tozo zimeshindwa kazi. Ni Bora wazifute tu.
 
Back
Top Bottom