Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa media za pro-gay
Hawakujua kama wangeweza kuchukua 15% ya ardhi ya Ukraine [emoji1255]Mrusi hakua clear nini anataka Ukraine akafanya delaying tactics akachukuliwa poa. Kumbe hawakujua hawakujua
umemmaliza, sijui kma atarudi. Wao ndio vinala wa ushogaHehehe hivi mbona maustadh wa bongo mko obsessed na mambo ushog.a kila mkishindwa kwenye hoja huwa mnahamia huko, ukizingatia maeneo ambayo mpo wengi ndio huongoza kwa hayo mavitu yaani Mombasa, Pemba na Pwani yote.
Hivi leo hali ikoje?Hehehe ameishia kulazimisha wanywa gongo wakapigane, kaishiwa kabisa.
Wenzako wanasema hivi vita ni Kati ya Russia 🇷🇺 na NATO, ww unaleta hapa Ukraine Vs Russia 🇷🇺!Wakati Urusi inaanza kuparamia Ukraine, ilikua na kila uwezo wa kuteka Ukraine yote kwa siku tano, huu ndio mfano mzuri wa kubwa jinga...
Maustadh mnalo...
View attachment 2393355
Kama anataka kutaga vilee[emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa unahangaika sana [emoji3][emoji3][emoji3]
Siku NATO wakitia guu pale Urusi itafutwa.
View attachment 2393420
Nan anaogopa kushindwa hapo?