Jacob kalokola
JF-Expert Member
- Mar 26, 2022
- 893
- 2,721
Pia Asilimia 15% imetwaliwa, huko Kuna Vinu vikubwa vya nuklia, Ardhi Safi ya Kilimo, Viwanda vya Kemikari, Viwanda vya Chuma, Makumbusho, Bandari zenye kina kikubwa Cha asiri,n.k.
Sijui hapo umeelewa, Tena vimenyakuliwa mikononi mwa Majeshi ya Nato.
Hata mahabara za Korona na Ukimwi Maliapol vimekamatwa na kuaribiwa.
Sasa wewe unashabikia waasisi wa Ushoga Duniani? Huwezi fikiri hawa Watu wamebaka, kuwafanyisha kazi ngumu bila Malilo, kuwaasi nguvu za kiume na kuwaingilia kinyume na maumbile Babu zetu?
Nyie ni kizazi Cha Miaka ipi hamkosoma Historian?
Sijui hapo umeelewa, Tena vimenyakuliwa mikononi mwa Majeshi ya Nato.
Hata mahabara za Korona na Ukimwi Maliapol vimekamatwa na kuaribiwa.
Sasa wewe unashabikia waasisi wa Ushoga Duniani? Huwezi fikiri hawa Watu wamebaka, kuwafanyisha kazi ngumu bila Malilo, kuwaasi nguvu za kiume na kuwaingilia kinyume na maumbile Babu zetu?
Nyie ni kizazi Cha Miaka ipi hamkosoma Historian?