Mnaoishabikia Urusi muwe mnapata aibu kila mkitazama hii picha

Mnaoishabikia Urusi muwe mnapata aibu kila mkitazama hii picha

We jamaa unahangaika sana [emoji3][emoji3][emoji3]

Mkuu, we mezea tu, binafsi jamaa huyu nimekwisha msoma kisaikolojia najua sababu zinazo msukuma kuwa na rabid hatred za everything Russian, na kuhusudu mataifa ya magharibi na wazungu and America in particular.
 
Nikuelimishe Jambo hapa!
Hii Vita ni Kati ya Ulaya + USA tena NATO Juzi walisema Urusi akishinda itakuwa imeshindwa Nato.
Pia Vita inayopiganwa sio kuitwaa Ukraine! Bali kuizoofisha Ukraine isijiunge Nato. Pia kuiadhibu Ulaya kwa kimbelembele chake pamoja na USA. Wakati huu USA mfumuko wa Bei ni 8.3, pia Ufaransa hali tete, UK hakufahi hata kidogo, uchumi umedorola ukiachia mbali Putin kuwalamba vichwa ma waziri Wakuu. MATAIFA kama Ujerumani uchumi unayumba kwa ajili ya kusitisha uzalishaji Viwanda, mambo ni mengi.
Ila muda huu ni wa kutafuta ugari, nitarudi kwako J. Pili nikudadavudie misukosuko ya Ulaya with some evidence.

Thanks a lot - nashangaa kwa nini raia wa Ulaya wanashindwa kuwaondoa madarakani kwa nguvu viongozi mazezeta wa Ulaya ambao wameingizwa mkenge na Biden na kujikuta wako kwenye hali mbaya kiuchumi wakati Uchumi wa Urusi unapaa. Sijui kwa nini wanawavumilia - waiitishe maandamano Ulaya nzima na kutimua wanajeshi wote wa Kimerikani barani Ulaya, bila ya kufanya hivyo watasubiri sana.
 
Thanks a lot - nashangaa kwa nini raia wa Ulaya wanashindwa kuwaondoa madarakani kwa nguvu viongozi mazezeta wa Ulaya ambao wameingizwa mkenge na Biden na kujikuta wako kwenye hali mbaya kiuchumi wakati Uchumi wa Urusi unapaa. Sijui kwa nini wanawavumilia - waiitishe maandamano Ulaya nzima na kutimua wanajeshi wote wa Kimerikani barani Ulaya, bila ya kufanya hivyo watasubiri sana.

Niambie wapi Ulaya maandamano yalimuondoa rais wa nchi
 
Niambie wapi Ulaya maandamano yalimuondoa rais wa nchi

Simple - je,umewahi kusikia October revolution ya mwaka 1917 huko Urusi ilitokana na nini??

One more thing: Any idea colour revolution zinamaanisha nini,je,Ukraine kulitokea nini?? Najua uliuliza swali hili kutaka kunizodoa ndio baadhi ya Watanzania tulivyo.
 
*Vinara

Kuliko Wamarekani na watu wa Ulaya?
Ulaya /USA ni uhuru wa mtu kufanya atakalo as long as yuko within the law! Haki za binadamu zinazingatiwa, mtu anatumia mwili wake atakavyo. Ni new invention. Huku kwa wenzetu ni jadi yao, ndio utamaduni wao.......not new invention
 
Simple - je,umewahi kusikia October revolution ya mwaka 1917 huko Urusi ilitokana na nini??

One more thing: Any idea colour revolution zinamaanisha nini,je,Ukraine kulitokea nini?? Najua uliuliza swali hili kutaka kunizodoa ndio baadhi ya Watanzania tulivyo.

Nimekuuliza swali nataka kupata majibu sikuanza kulalama kuwa unataka kuzodolewa!!Wewe jibu swali langu tu!!
 
Ulaya /USA ni uhuru wa mtu kufanya atakalo as long as yuko within the law! Haki za binadamu zinazingatiwa, mtu anatumia mwili wake atakavyo. Ni new invention. Huku kwa wenzetu ni jadi yao, ndio utamaduni wao.......not new invention
Sasa kwa maelezo yako haya Mzee ni nani vinara wa ushoga?
 
allah akbra takbirrr
Tuambie hapo wamarekani walishindwaje sasa.
th.jpg
 
Tuambie hapo wamarekani walishindwaje sasa.View attachment 2396350

Sio rahisi kupigana na majitu ya kidini, hata utumie vifaru au silaha za aina gani, wakitoka misikitini wamelishwa mizuka ya kidini wanakuja kujitoa mhanga moja kwa moja allhu akbr takbirr....yaani wanakua mazombi
 
Wavaa pempas [emoji304][emoji2524]‍[emoji304] leo wana hali mbaya sana
 
Back
Top Bottom