Kwa hiyo unataka tufanye nini sasa?Wakati Urusi inaanza kuparamia Ukraine, ilikua na kila uwezo wa kuteka Ukraine yote kwa siku tano, huu ndio mfano mzuri wa kubwa jinga...
Maustadh mnalo...
View attachment 2393355
MAGAIDI watapigwa hata wawe wapi watapigwa tuuuuTakbirr allah akbarrr hehehe
We jamaa unahangaika sana [emoji3][emoji3][emoji3]
Nikuelimishe Jambo hapa!
Hii Vita ni Kati ya Ulaya + USA tena NATO Juzi walisema Urusi akishinda itakuwa imeshindwa Nato.
Pia Vita inayopiganwa sio kuitwaa Ukraine! Bali kuizoofisha Ukraine isijiunge Nato. Pia kuiadhibu Ulaya kwa kimbelembele chake pamoja na USA. Wakati huu USA mfumuko wa Bei ni 8.3, pia Ufaransa hali tete, UK hakufahi hata kidogo, uchumi umedorola ukiachia mbali Putin kuwalamba vichwa ma waziri Wakuu. MATAIFA kama Ujerumani uchumi unayumba kwa ajili ya kusitisha uzalishaji Viwanda, mambo ni mengi.
Ila muda huu ni wa kutafuta ugari, nitarudi kwako J. Pili nikudadavudie misukosuko ya Ulaya with some evidence.
Thanks a lot - nashangaa kwa nini raia wa Ulaya wanashindwa kuwaondoa madarakani kwa nguvu viongozi mazezeta wa Ulaya ambao wameingizwa mkenge na Biden na kujikuta wako kwenye hali mbaya kiuchumi wakati Uchumi wa Urusi unapaa. Sijui kwa nini wanawavumilia - waiitishe maandamano Ulaya nzima na kutimua wanajeshi wote wa Kimerikani barani Ulaya, bila ya kufanya hivyo watasubiri sana.
Niambie wapi Ulaya maandamano yalimuondoa rais wa nchi
Akikujibu nitagNa hiyo misaada inayopelekwa kila siku Ukraine imejumlishiwa wapi kwenye hiyo statistics?
[emoji304][emoji2524][emoji304][emoji1300][emoji129] wanachapika hatariAkbar akbra
Ulaya /USA ni uhuru wa mtu kufanya atakalo as long as yuko within the law! Haki za binadamu zinazingatiwa, mtu anatumia mwili wake atakavyo. Ni new invention. Huku kwa wenzetu ni jadi yao, ndio utamaduni wao.......not new invention*Vinara
Kuliko Wamarekani na watu wa Ulaya?
Simple - je,umewahi kusikia October revolution ya mwaka 1917 huko Urusi ilitokana na nini??
One more thing: Any idea colour revolution zinamaanisha nini,je,Ukraine kulitokea nini?? Najua uliuliza swali hili kutaka kunizodoa ndio baadhi ya Watanzania tulivyo.
Sasa kwa maelezo yako haya Mzee ni nani vinara wa ushoga?Ulaya /USA ni uhuru wa mtu kufanya atakalo as long as yuko within the law! Haki za binadamu zinazingatiwa, mtu anatumia mwili wake atakavyo. Ni new invention. Huku kwa wenzetu ni jadi yao, ndio utamaduni wao.......not new invention
Tuambie hapo wamarekani walishindwaje sasa.allah akbra takbirrr
Tuambie hapo wamarekani walishindwaje sasa.View attachment 2396350
ambao ndio mila zao, hawa wa kuiga hawawezi pita ambao ni mil ana jadi yaoSasa kwa maelezo yako haya Mzee ni nani vinara wa ushoga?