Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Ndoa ni utapeli.

Yaani umelifuga toto la mtu, unalilisha mauji na maugali unaishia kuambulia papuchi ambayo haina hata jotro.

Kwa walafi wa papuchi lazima waoe, ndio maana mume wangu aliamua kunioa kwa sababu ni mlaku wa papuchi. Ananizagamua vilivyo.

Kijana sikushauri uoe. Ndoa ni biashara ya papuchi dhidi ya uhuru.

Labda tu uwe mlaku wa papuchi.

Cc: Lamomy
🤣🤣🤣🤣 wizo acha kubania wenzio wasiolewe, ww unampepelea baba tamu kwa raha zako afu wenzio hutaki wapate raha mfyuuu!!
 
Habari za jumapili wana jamii forums
Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Shida chief unachukua vitoto vya miaka 19 au 21 sasa hapo umeoa au unamkuza mtoto ua mtu ashapevuta akili ishakomaa mda wote anawaza life uyo bado yupo na choice bado
 
Mimi enzi za ujana wangu niliwahi kuishi na mwanamke(Sogea tuishi) mwezi mmoja ndani ya huo mwezi ndio nilitambua kabisa ndoa zina watu wake na mimi sio mmoja wao. Ilinilazimu kila nikitoka kazini lazima nipitie bar kwanza nichape Konyagi ndio niende nyumbani, kulala nae kitanda kimoja nilikua nahisi kama ataweza kunichoma kisu so nilikua nalala macho tu.
Hata akiniuliza utakula nini leo nilikua nahisi kama ananipigia makelele.
Hongera zenu mlioweza kuishi na hawa viumbe asee
 
Habari za jumapili wana jamii forums
Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Na huo ndio ukubwa Sasa.
Ulichakugua Kwa moyo wako mkunjufu.

Wewe ndio wa kutengeneza hilo Jambo.Sio unakuja hapa kulalamika kama toto dogo
 
nina miaka 33 yeye ana miaka 27
Kaka Kuna wakati maisha yanahitaji mtu wa kuwa nae ili yakae vizuri zaidi, lkn tatizo unapata tunapatana na watu sio sahihi, bro tafuta mtu ambaye anaelewa maisha. Unaeza Kaa na mwanamke Kama Hana akili utajikuta uko pale pale mpaka uzee na hujapiga hatua. Piga chini huyo umri wako unadai bado
 
Tatizo vijana tunaanza na kuzingatia ukubwa wa makalio yake. Kabla ya kuzingatia mambo ya muhimu zaidi..
Kwa experience yangu ndogo.
Moja kama mwanaume unatakiwa kucontrol mji wako hilo ni jambo la kwanza.
Mbili usitegemee mtakuwa sawa siku zote Kuna siku hamtakuwa sawa jitahidini yasitoke nje yaishie ndani.

Tatu Upendo wa mwanamke umeumbiwa kwenye maumivu , tafuta namna ya kuumiza hisia zake mara moja moja atkupenda zaidi na kukuheshimu.NB sio kuchepuka tu

Mwisho kuanzisha ndoa ni kuamua kuwa mvumilivu kwa maisha yako yote yaliyobaki ( ukiwa kwenye ndoa )
Kikubwa zaidi anatakiwa akuheshimu hayo mambo ya hisia sijui mapenzi hubadilika .

Acha waje waongezee nyama
 
Back
Top Bottom