Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Mimi enzi za ujana wangu niliwahi kuishi na mwanamke(Sogea tuishi) mwezi mmoja ndani ya huo mwezi ndio nilitambua kabisa ndoa zina watu wake na mimi sio mmoja wao. Ilinilazimu kila nikitoka kazini lazima nipitie bar kwanza nichape Konyagi ndio niende nyumbani, kulala nae kitanda kimoja nilikua nahisi kama ataweza kunichoma kisu so nilikua nalala macho tu.
Hata akiniuliza utakula nini leo nilikua nahisi kama ananipigia makelele.
Hongera zenu mlioweza kuishi na hawa viumbe asee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mie mwaka 2009 nikiwa na sogea tuishi kimara mwisho niliwahi ondoka na begi la nguo ru mgongoni, niliacha chumba na sebule full, laptop yani nilikuwa well furnished kiukweli, aisee nikadanganya nimepata kakazi moro mpaka leo.
 
Habari za jumapili wana jamii forums
Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Nakuelewa mkuu nakuelewa sana ila hakuna namna. Omba Mungu upate mtu bright sio hawa wafuatilia tamthlia wakata kuishi hayo hayo maisha bila kujua ni maigizo.
 
Habari za jumapili wana jamii forums
Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Achana naye, it seems direct kwamba your future is not destined togetner.
Mapenzi ni furaha, lakini kwa huyo inaonesha hauna furaha, zaidi kiwango cha furaha kimeshuka.
Mapenzi ni kushauriana na pamoja mnajadiliana kuhusu maendeleo, lakini huyo hakuna cha kushauriana kuhusu maendeleo zaidi ya kukuta billi na yeye kubaki na TV yake.

You are not looking for that person, kwa maelezo yako tu inaonesha kuna features nyingi unazozitaka lakini yeye hana. so what the https://jamii.app/JFUserGuide?!! Drop her and you drop her fast
 
Mkuu at your age 33 yrs means upo hatua ya kutafuta usahihi kwa vitu vingi including intimacy , wife , job , and etc.

The point to note.

Nakupa hii siri unapohitaji kitafuta MTU wa kuishi naye hakikisha anafundishika.

MTU anayefundishika mta-settle vizuri atajua what is right what is wrong.


Hivyo usianze kumfukuza Ila jaribu kwenda naye taratibu kwa kuwa humble ,kumsikiliza na kusikiliza na uanze mfundisha ni vipi awe .


Endelea kukuza ufahamu wako , taratbu.
 
Mkuu at your age 33 yrs means upo hatua ya kutafuta usahihi kwa vitu vingi including intimacy , wife , job , and etc.

The point to note.

Nakupa hii siri unapohitaji kitafuta MTU wa kuishi naye hakikisha anafundishika.

MTU anayefundishika mta-settle vizuri atajua what is right what is wrong.


Hivyo usianze kumfukuza Ila jaribu kwenda naye taratibu kwa kuwa humble ,kumsikiliza na kusikiliza na uanze mfundisha ni vipi awe .


Endelea kukuza ufahamu wako , taratbu.
Best comment
 
Back
Top Bottom